Spika Ndugai: Lissu kwa miaka 10 ya Ubunge hakuna 'legacy' yoyote aliyoacha Jimboni kwake

Spika Ndugai: Lissu kwa miaka 10 ya Ubunge hakuna 'legacy' yoyote aliyoacha Jimboni kwake

ndugai wewe ndie uliacha legacy ya hovyo kabisa bungeni jambo ambalo halikuwahi kutokea! tena hovyo kabisa!
hata ktk jimbo lako uliacha nini? acha majigambo ya kigogo yasiyo na faida
 
Mfuko wa jimbo ni bajeti ya nini kwani ?
unajua bajeti ya mfuko wa jimbo?unajua kama inaweza kujenga madarasa mawili tu kwa mwaka? Mbunge kazi yake na madiwani ni kupiga domo hela za miradi zipelekwe kwa mkurugenzi kulingana na bajeti. Sasa kama Lissu kapiga domo hela hazijaletwa unataka akazichote hazina akimbie?

Nakukumbusha kauli ya Magu kwenye kampeni kwamba hakupeleka hela majimbo ya upinzani. Bado unamlaumu Lissu?
 
Hebu tumia upuuzi wako kuonyesha alichofanya Mwigulu, Kingu, Mbunge wa Bahi hata Kongwa kwenyewe. Nenda mpaka Urambo au Chato kabla ya dikteta kuiba hela na kupeleka kwao.

Tafuteni mzizi wa tatizo sio kujipaka kinyesi. Nimekuuliza dikteta kusema hakupeleka maendeleo kwenye majimbo ya upinzani alimaanisha nini,hujajibu umebaki kukenua tu
Hawezi kujibu huyo, yeye anachukua ni chadema, lisu, mbowe, lema nk
 
Kwani kuwa spika sio legacy ?


Mhh...? ofisi ya DC haina bajeti yeyote ya kutekeleza miradi kama hiyo, Sana Sana labda angekuwa mkurugenzi.
Kwa hiyo kuwa spika pekee ndio unasema inatosha kuwa legacy??? Nyie watoto naona mmeamua kubadili maana ya neno legacy simply because mnataka kusifia mambo ya Meko, anyway asiyejua maana haambiwi maana.

Kuna haja ya kuendelea kuwa na kizazi ambacho hakina uelewa wa mambo ili tuongeze tabaka kati ya wenye nacho na wasionacho ili wasionacho waendelee kutawalika kirahisi.
 
Wabunge wote wa ccm akiwemo huyo Ndungai wao wameacha Legacy gani.
 
Mpumbavu huyu alitamba enzi zake! Lkn kaja kufeli kijinga sana. Na sasa anaishi kama digidigi.
 
Legacy ya lisu ni kuolewa ubelgiji
Ya kwako ni "kulala sebuleni kwa shemeji " mwaka wa 10 huu huku dada yako akisuguliwa morning glory unaskilizia tu kwa mlangoni sauti inavyotoka kama ngoma ya mnanda.
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Apeleke maji kwani yeye ndie anayekusanya Kodi!?
Sera zinatungwa ccm,wabunge wengi wa ccm,TRA ya ccm,wakurugenzi wa halmashauri wote ccm,harafu unataka Mbunge apeleke maji!hakuna msjimbo maskini kama ya Mtwara!ukianzia mtama kwa nape na membe,ufukara mtupu!
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Nduuu gay
 
Apeleke maji kwani yeye ndie anayekusanya Kodi!?
Sera zinatungwa ccm,wabunge wengi wa ccm,TRA ya ccm,wakurugenzi wa halmashauri wote ccm,harafu unataka Mbunge apeleke maji!hakuna msjimbo maskini kama ya Mtwara!ukianzia mtama kwa nape na membe,ufukara mtupu!
hivi unajibizana na MATAGA aliyesema ameongea na JPM kwamba tuchape kazi kumbe mtu kisha REST in peace.
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
1669647124621.png
 
Hamna hata mmoja anayekumbuka kwamba Lisu alishawahi kuwa mbunge
 
Back
Top Bottom