Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG

Ndugai anasumbuliwa na personal issues zenye mwelekeo wa INFERIORITY COMPLEX tangu enzi za KIBAHA SEKONDARI ambapo Mbowe na vijana wengine wa vi-GOGO wakiwa wameletwa kusoma pale kimbeleko-mbeleko vile. I was there, A level miaka ilee.

Nakumbuka sana aina flani ya CAVEMEN WALOKUBUHU ambao Kibaha iliwatesa mno. They hated aina ya kina Mbowe, Maswanya, Nkembo .... et al!

Kwake yeye kuupata UBUNGE na baadae USPIKA ni purely demographical, a very opportunistic tribal opening! Angegombea kwingineko asingepata hata nusu kura! Anavyojibaraguza sasa!
 
Ripoti ya CAG ina makosa mfano kujua kama ATCL imepata faida au hasara CAG alitakiwa achukue hiyo bilioni 60 loss ya kwenye vitabu atoe pesa ambayo ATCL ilitoa gawio yaani dividend kwa serikali halafu atoe Kodi zote ambazo ATCL imelipa kwa seikali kuanzia VAT za tiketi za ndege ambazo kila abiria hulipa na kodi zingine zote ATCL imelipa nk

Hiyo hasara ya bilioni 60 CAG alikose A compute upya.
 
Lakini report hizo huzo za CAG kuna wakati zimewatumbua watu!
 
Nitagoma😂😂😂😂 hebu ngoja nimuulize kajala na bintie kama wamepata chanjo kabla ya kula bata dubai
Na ndiyo huku nampango wa kukupeleka tucheze kwenye michanga.
Hebu muulize aisee nisijenikachoma pesa yangu ya tiketi bure kabisa.
 
Ninachokiona kwenye Ripoti hizi kunaitaji wataalam kidogo kuziweka sawa, sometime kunakuwa na mkanganyiko kidogo kwenye taarifa ya CAG inakuwa haiwekwi wazi.

Mfano:- Unaposikia fedha zilitumika nje ya bajeti iliyopitishwa au hazipo.. Tunajua Hayati muda mwingine alikuwa anasitisha shughuli kama sherehe za Uhuru na akaelekeza ile pesa labda ikajengwe Hospital ya Uhuru pale Dodoma, Bajeti ilikuwa inasema hela itatumika kwenye Sherehe za Uhuru lakini Mzee akaamua kusitisha Sherehe hizo iyo pesa ikajenge Hospital..!! Hajafanya vibaya lakini uo ndo mwisho wa CAG na ndio maana kuna PAC na LAAC wao ndo wanakuja kusawazisha sehemu kama hizo kuwa japo pesa ilibadilishiwa matumizi nje ya Bajeti lakini haikutumika vibaya.
 
Well said!! How Did Mbowe Score Final Exams??
 
Well said!! How Did Mbowe Score Final Exams??
 
Muulizeni spaka mshahara wa Mbowe alikuwa anaweka wapi.

Waambieni wageuke tuongee tu lugha moja au anatamani kwenda kuwa msaidizi wa kiranja wa malaika.
 
Uzuri tunajua matatizo yake anawaza kimwenda zake anatenda Kisamia
 
Huyu mzee sijui alikosewa nini na Mbowe?

Kuna uwezekano ni chuki za kuzidiwa mawe
 
Job atakuwa na matatizo si buree....Mbowe katika hutoba yake hakuongelea kabisaa mambo ya CAG.....au kamchanganya na Zitto.......

halafu hii tabia ya kuona wanaokosoa wameambiwa na Wazungu inatupeleka kubaya kama taifa...yaani viongozi mnaona wananchi ni mabwege hawawezi kuhoji mpaka wazungu wawatume?????
 
Hoja zimeelekezwa kwa serikali au taasisi husika. Ndugai asiwajibie.
 
Kwa hiyo yeye anahalalisha wizi wa milioni moja?
 
Nimesikiliza na kutazama hotuba yote ya @freemanmbowetz sikusikia sehemu yoyote akichambua taarifa ya CAG. Job Ndugai amedata? Kwanini amechanganyikiwa hivi? Anasema Mbowe alichambua taarifa ya CAG baada ya kutumwa na watu wake wa ulaya. Ndugai kachanganya Mbowe na Zitto? Nisaidienui mlio sikiliza Hotuba ya Mbowe.

 
Kama wewe ni muhasibu na unaishi kwenye ujinga huu. Basi kazi ipo?
 
Kumbe iliandaliwa kwa wazungu? Basi mbowe yuko sahihi!! Mr Mbowe lete ubuyu wajinyee vizuri
 
Mama DED wa Bahi analo hakuna ujanja janja tena.
 
Masikio haya bwana; mbona mi sikusikia kabisa kama Mbowe kagusia chochote kuhusu report ya CAG? Nambieni ilikua dakika ya ngapi? Chuki binafsi za Ndugai kwa Mbowe zisitufanye na wengine kuingilia ugomvi wao.
 
Mtu sahihi wa kusema Mbowe amepotosha ripoti ni CAG mwenyewe; Ndugai asubiri kamati zake zifanye kazi ndipo aseme, tofauti na hivyo sidhani kama yeye amesomea uhasibu pia!
 
Anapambana na Mbowe kama mke mwenza, mambo ya akina mama analeta bungeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…