Koffi Yardley
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 620
- 496
Lakini report hizo huzo za CAG kuna wakati zimewatumbua watu!Spika wa Bunge Job Ndugai, amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) zichambue ripoti ya CAG na kuiwakilisha bungeni katika mkutano wa nne, kwa kuwa inapotoshwa huku akimtaja Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuwa mmoja wapo
Spika wa Bunge Job Ndugai amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) zichambue ripoti ya Mdhibiti na Mkuguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) na kuiwakilisha bungeni katika mkutano wa nne badala ya mkutano wa tano, kwa kuwa inapotoshwa.
Akizungumza leo Jumatatu Aprili 12 2021, Ndugai huku akimtaja Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amedai kuwepo upotoshaji wa ripoti hiyo.
Kauli ya Spika imekuja siku moja baada ya Mbowe kuhutubia kupitia mitandao ya jamii, ambapo pamoja na mambo mengine alilituhumu Bunge kwa vitendo vya rushwa.
“Watu wanabeba tu mabilioni yameibiwa sasa huyo rafiki yangu Freeman Mbowe alikuwa Ulaya huko sasa katumwa na watu wake huko anapotosha mambo,” amesema.
Amesema sio watu wengi wenye uelewa wa kuchambua taarifa za kihasibu na hivyo kunaweza kukawa na ujenzi wa kituo cha afya wa Sh 500milioni lakini Sh 499milioni zimetumika vizuri kabisa.
Hata hivyo, amesema lakini kati ya fedha hizo Sh1milioni ikikosa kiambatanisho fulani ni kawaida wakaguzi wanahoji fungu zima la Sh 500milioni.
Amesema kwa hiyo unaposoma mtaani unaona sh 500 zimeibwa lakini kumbe pale ni Sh milioni moja ndio hazina risiti.
Amesema kamati hizo zitaanza mapema kuchambua ripoti hizo ili waangalie ratiba yao na kuwaelimisha watu kuhusiana na ripoti ya CAG ambayo ni taarifa nzuri lakini baadhi ya watu wanabeba na kupotosha tu.
Mwananchi
Na ndiyo huku nampango wa kukupeleka tucheze kwenye michanga.Nitagoma😂😂😂😂 hebu ngoja nimuulize kajala na bintie kama wamepata chanjo kabla ya kula bata dubai
Ninachokiona kwenye Ripoti hizi kunaitaji wataalam kidogo kuziweka sawa, sometime kunakuwa na mkanganyiko kidogo kwenye taarifa ya CAG inakuwa haiwekwi wazi.Hakika sipati picha kwanini kuna baadhi ya Watu wanajaribu kutumia mpaka Nguvu zao zote kupinga Ripoti ya CAG .CAG ni Mteule wa Hayati Magufuli,Hayati Magufuli alimwamini CAG ndio maana Akamteua leo iweje mpinge Utendaji wa CAG aliyeteuliwa na Hayati Magufuli? Mnavyomwamini Hayati Magufuli kwa Utendaji Wake basi Muaminini na CAG kwa Ripoti yake Acheni Unafiki .CAG ameripoti kile Alichokagua na kuelezwa na Watendaji Wenyewe.Ripoti ya CAG iheshimiwe na ndio Sababu Rais Wetu Ameipokea.
Well said!! How Did Mbowe Score Final Exams??Ndugai anasumbuliwa na INFERIORITY COMPLEX tangu enzi za KIBAHA SEKONDARI, Mbowe na vijana wa vi-GOGO wakiwa wameletwa kusoma pale kimbeleko mbeleko vile. I was there, A level miaka ilee.
Kwake yeye kuupata UBUNGE na baadae USPIKA ni purely demographical, aMATONYA product! Angegombea kwingineko asingepata hata nusu kura! Anavyojibaraguza sasa ni typical kwa kimo cha saizi hiyo.
Well said!! How Did Mbowe Score Final Exams??Ndugai anasumbuliwa na INFERIORITY COMPLEX tangu enzi za KIBAHA SEKONDARI, Mbowe na vijana wa vi-GOGO wakiwa wameletwa kusoma pale kimbeleko mbeleko vile. I was there, A level miaka ilee.
Kwake yeye kuupata UBUNGE na baadae USPIKA ni purely demographical, aMATONYA product! Angegombea kwingineko asingepata hata nusu kura! Anavyojibaraguza sasa ni typical kwa kimo cha saizi hiyo.
Hoja zimeelekezwa kwa serikali au taasisi husika. Ndugai asiwajibie.Spika wa Bunge Job Ndugai, amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) zichambue ripoti ya CAG na kuiwakilisha bungeni katika mkutano wa nne, kwa kuwa inapotoshwa huku akimtaja Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuwa mmoja wapo
Spika wa Bunge Job Ndugai amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) zichambue ripoti ya Mdhibiti na Mkuguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) na kuiwakilisha bungeni katika mkutano wa nne badala ya mkutano wa tano, kwa kuwa inapotoshwa.
Akizungumza leo Jumatatu Aprili 12 2021, Ndugai huku akimtaja Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amedai kuwepo upotoshaji wa ripoti hiyo.
Kauli ya Spika imekuja siku moja baada ya Mbowe kuhutubia kupitia mitandao ya jamii, ambapo pamoja na mambo mengine alilituhumu Bunge kwa vitendo vya rushwa.
“Watu wanabeba tu mabilioni yameibiwa sasa huyo rafiki yangu Freeman Mbowe alikuwa Ulaya huko sasa katumwa na watu wake huko anapotosha mambo,” amesema.
Amesema sio watu wengi wenye uelewa wa kuchambua taarifa za kihasibu na hivyo kunaweza kukawa na ujenzi wa kituo cha afya wa Sh 500milioni lakini Sh 499milioni zimetumika vizuri kabisa.
Hata hivyo, amesema lakini kati ya fedha hizo Sh1milioni ikikosa kiambatanisho fulani ni kawaida wakaguzi wanahoji fungu zima la Sh 500milioni.
Amesema kwa hiyo unaposoma mtaani unaona sh 500 zimeibwa lakini kumbe pale ni Sh milioni moja ndio hazina risiti.
Amesema kamati hizo zitaanza mapema kuchambua ripoti hizo ili waangalie ratiba yao na kuwaelimisha watu kuhusiana na ripoti ya CAG ambayo ni taarifa nzuri lakini baadhi ya watu wanabeba na kupotosha tu.
Mwananchi
Kwa hiyo yeye anahalalisha wizi wa milioni moja?Spika wa Bunge Job Ndugai, amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) zichambue ripoti ya CAG na kuiwakilisha bungeni katika mkutano wa nne, kwa kuwa inapotoshwa huku akimtaja Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuwa mmoja wapo
Spika wa Bunge Job Ndugai amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) zichambue ripoti ya Mdhibiti na Mkuguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) na kuiwakilisha bungeni katika mkutano wa nne badala ya mkutano wa tano, kwa kuwa inapotoshwa.
Akizungumza leo Jumatatu Aprili 12 2021, Ndugai huku akimtaja Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amedai kuwepo upotoshaji wa ripoti hiyo.
Kauli ya Spika imekuja siku moja baada ya Mbowe kuhutubia kupitia mitandao ya jamii, ambapo pamoja na mambo mengine alilituhumu Bunge kwa vitendo vya rushwa.
“Watu wanabeba tu mabilioni yameibiwa sasa huyo rafiki yangu Freeman Mbowe alikuwa Ulaya huko sasa katumwa na watu wake huko anapotosha mambo,” amesema.
Amesema sio watu wengi wenye uelewa wa kuchambua taarifa za kihasibu na hivyo kunaweza kukawa na ujenzi wa kituo cha afya wa Sh 500milioni lakini Sh 499milioni zimetumika vizuri kabisa.
Hata hivyo, amesema lakini kati ya fedha hizo Sh1milioni ikikosa kiambatanisho fulani ni kawaida wakaguzi wanahoji fungu zima la Sh 500milioni.
Amesema kwa hiyo unaposoma mtaani unaona sh 500 zimeibwa lakini kumbe pale ni Sh milioni moja ndio hazina risiti.
Amesema kamati hizo zitaanza mapema kuchambua ripoti hizo ili waangalie ratiba yao na kuwaelimisha watu kuhusiana na ripoti ya CAG ambayo ni taarifa nzuri lakini baadhi ya watu wanabeba na kupotosha tu.
Mwananchi
Kama wewe ni muhasibu na unaishi kwenye ujinga huu. Basi kazi ipo?Ndugai yuko sahihi.
Mbowe amechambuliwa huko ulaya taarifa ya CAG akameza anakuja kujiropokea hapa Bongo.
Kwa tunaojua mambo ya kihasibu hatushangai na hua hatukurupukii taarifa ya CAG maana mkaguzi asipoelewa kitu basi hukibeba kama kilivyo kwenye report yake.
Ndio maana cases nyingi ambazo hua CAG anataja, watuhumiwa wakiitwa kwenye kamati za Bunge hua majibu yanatolewa na baadae zinaonekana hazina msingi.
Sasa Mbowe ametafsiriwa report na wazungu huko anakuja kujiropokea tu hapa.
Kumbe iliandaliwa kwa wazungu? Basi mbowe yuko sahihi!! Mr Mbowe lete ubuyu wajinyee vizuriNdugai yuko sahihi.
Mbowe amechambuliwa huko ulaya taarifa ya CAG akameza anakuja kujiropokea hapa Bongo.
Kwa tunaojua mambo ya kihasibu hatushangai na hua hatukurupukii taarifa ya CAG maana mkaguzi asipoelewa kitu basi hukibeba kama kilivyo kwenye report yake.
Ndio maana cases nyingi ambazo hua CAG anataja, watuhumiwa wakiitwa kwenye kamati za Bunge hua majibu yanatolewa na baadae zinaonekana hazina msingi.
Sasa Mbowe ametafsiriwa report na wazungu huko anakuja kujiropokea tu hapa.
Mama DED wa Bahi analo hakuna ujanja janja tena.Ndugai yuko sahihi.
Mbowe amechambuliwa huko ulaya taarifa ya CAG akameza anakuja kujiropokea hapa Bongo.
Kwa tunaojua mambo ya kihasibu hatushangai na hua hatukurupukii taarifa ya CAG maana mkaguzi asipoelewa kitu basi hukibeba kama kilivyo kwenye report yake.
Ndio maana cases nyingi ambazo hua CAG anataja, watuhumiwa wakiitwa kwenye kamati za Bunge hua majibu yanatolewa na baadae zinaonekana hazina msingi.
Sasa Mbowe ametafsiriwa report na wazungu huko anakuja kujiropokea tu hapa.
Masikio haya bwana; mbona mi sikusikia kabisa kama Mbowe kagusia chochote kuhusu report ya CAG? Nambieni ilikua dakika ya ngapi? Chuki binafsi za Ndugai kwa Mbowe zisitufanye na wengine kuingilia ugomvi wao.Ndugai yuko sahihi.
Mbowe amechambuliwa huko ulaya taarifa ya CAG akameza anakuja kujiropokea hapa Bongo.
Kwa tunaojua mambo ya kihasibu hatushangai na hua hatukurupukii taarifa ya CAG maana mkaguzi asipoelewa kitu basi hukibeba kama kilivyo kwenye report yake.
Ndio maana cases nyingi ambazo hua CAG anataja, watuhumiwa wakiitwa kwenye kamati za Bunge hua majibu yanatolewa na baadae zinaonekana hazina msingi.
Sasa Mbowe ametafsiriwa report na wazungu huko anakuja kujiropokea tu hapa.