Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG

Hujui nini maana ya audit queries.
 
Spika hujatuhumiwa na CAG, waliotuhumiwa wapo na wanatakaiwa kujitetea wao sio wewe! wewe bila shaka unatakiwa kufanya kazi ya kuisimamia serikali kupitia kamati zako ulizotaja sio kujibebesha jukumu la kuelimisha wananchi
 
Kwanini wasisubiri hizo final conclussios ili wailete hiyo ripoti? Sasa huyo manager wa TTB kusimamishwa kazi kwanini wakati ni querries tu?
Queries zinatoa majibu ya kweli amesimamishawa ili kupisha uchunguzi. Utaratibu wa audit upo hivyo lazima mkaguzi auibue hoja kisha majibu.
 
acquired stupidity
 
Hivi katiba haisemi chochote kuhusu bunge kutokuwa na imani na Spika[emoji23][emoji23][emoji23]
 
job na mwiglu ni wanasiasa wa hovyo kabisa kuwahi tokea. hivyo wanahalalisha kila milioni moja kuibiwa kwenye ratio ya mradi au source ya m500? ni sawa na msemo wa dharau sana kwa hao wanaowaita wanyonge wao.
#kahela kenyewe kaliwa kahela kamboga tu.. #mama tibaijuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…