ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kwann asimujibu CAG anamjibu Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri kumbe naye anamsikiliza Chairman kwa umakini na anatenga muda wa kumjibuNdugai yuko sahihi
We nae hukosi kukurupuka. Vipi mnaendelea vipi hapo hotel desderia? Biashara nzuri?Tuliwaambia kwamba Mbowe ndiye anayetoa Dira ya nchi , nadhani sasa mmeanza kuelewa
Wewe tutakupatia ya pepopunda wakati wenzako tukipata astra zeneca
Hujui nini maana ya audit queries.Audit (au evaluation yoyote for that matter) inapofanyika, uongozi husika hupewa nafasi ya kujibu those key findings na majibu yao huwa ni sehemu ya final report.
Unachokisoma kwenye report ya CAG kimeinclude explanations kutoka kwenye institutions husika. Kwa lugha rahisi ambayo hata layman ataelewa - hiyo ni final report. Rais huwa hawepi half-baked report yenye opinions eti ije kujibiwa baadae.
Sukuma gang lazima mzalishwe
Hapo sasaNshaipata utotoni.
naona mataga unataga
Umataga haukupendezei hata.
Unaogopa nini astrazeneca na wajomba zake,pfeizer na wengine.Nshaipata utotoni.
Queries zinatoa majibu ya kweli amesimamishawa ili kupisha uchunguzi. Utaratibu wa audit upo hivyo lazima mkaguzi auibue hoja kisha majibu.Kwanini wasisubiri hizo final conclussios ili wailete hiyo ripoti? Sasa huyo manager wa TTB kusimamishwa kazi kwanini wakati ni querries tu?
Hahah me sitaki kukuudhi bhanaUmataga ndo nini😂😂😂😂
Ahaaaa, mbona leo umeona?Yaani sijawahi kumuona mtu anaji quote
Kama hatua ya mwanzo vielelezo vilikosekana, watu wakahojiwa hoja hazikuridhisha,huko mbele vielelezo vitapatikana kuzifuta hizo hoja?Hujui nini maana ya audit queries.
Unaogopa nini astrazeneca na wajomba zake,pfeizer na wengine.
acquired stupiditySpika wa Bunge Job Ndugai, amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) zichambue ripoti ya CAG na kuiwakilisha bungeni katika mkutano wa nne, kwa kuwa inapotoshwa huku akimtaja Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuwa mmoja wapo
Spika wa Bunge Job Ndugai amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) zichambue ripoti ya Mdhibiti na Mkuguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) na kuiwakilisha bungeni katika mkutano wa nne badala ya mkutano wa tano, kwa kuwa inapotoshwa.
Akizungumza leo Jumatatu Aprili 12 2021, Ndugai huku akimtaja Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amedai kuwepo upotoshaji wa ripoti hiyo.
Kauli ya Spika imekuja siku moja baada ya Mbowe kuhutubia kupitia mitandao ya jamii, ambapo pamoja na mambo mengine alilituhumu Bunge kwa vitendo vya rushwa.
“Watu wanabeba tu mabilioni yameibiwa sasa huyo rafiki yangu Freeman Mbowe alikuwa Ulaya huko sasa katumwa na watu wake huko anapotosha mambo,” amesema.
Amesema sio watu wengi wenye uelewa wa kuchambua taarifa za kihasibu na hivyo kunaweza kukawa na ujenzi wa kituo cha afya wa Sh 500milioni lakini Sh 499milioni zimetumika vizuri kabisa.
Hata hivyo, amesema lakini kati ya fedha hizo Sh1milioni ikikosa kiambatanisho fulani ni kawaida wakaguzi wanahoji fungu zima la Sh 500milioni.
Amesema kwa hiyo unaposoma mtaani unaona sh 500 zimeibwa lakini kumbe pale ni Sh milioni moja ndio hazina risiti.
Amesema kamati hizo zitaanza mapema kuchambua ripoti hizo ili waangalie ratiba yao na kuwaelimisha watu kuhusiana na ripoti ya CAG ambayo ni taarifa nzuri lakini baadhi ya watu wanabeba na kupotosha tu.
Mwananchi