Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #141
Usinitoe kwenye mstari.Nahamisha magoli, kwani ww hujui kwamba mimi sikubaliani na hilo bunge kwa jinsi lilivyopatikana? Sasa unataka niamini taasisi ambayo ni zao za wizi wa kura, ndio nitegemee uadilifu kwao?