Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG

Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG

Nahamisha magoli, kwani ww hujui kwamba mimi sikubaliani na hilo bunge kwa jinsi lilivyopatikana? Sasa unataka niamini taasisi ambayo ni zao za wizi wa kura, ndio nitegemee uadilifu kwao?
Usinitoe kwenye mstari.
 
Mimi nimeisikiliza hotuba ya Mh. Mbowe hakuna mahali amegusia ripoti ya CAG. Huyu Ndungai usaliti na unafiki wake aliounyesha kwenye mradi wa Bandari ya Bagamoyo ndiyo unamtesa anatafuta scapegoat. Ndungai ibebe mwenyewe aibu yako. Hufai kabisa wewe.
 
Ndugai yuko sahihi.

Mbowe amechambuliwa huko ulaya taarifa ya CAG akameza anakuja kujiropokea hapa Bongo.

Kwa tunaojua mambo ya kihasibu hatushangai na hua hatukurupukii taarifa ya CAG maana mkaguzi asipoelewa kitu basi hukibeba kama kilivyo kwenye report yake.

Ndio maana cases nyingi ambazo hua CAG anataja, watuhumiwa wakiitwa kwenye kamati za Bunge hua majibu yanatolewa na baadae zinaonekana hazina msingi.

Sasa Mbowe ametafsiriwa report na wazungu huko anakuja kujiropokea tu hapa.
Hata mimi nilimsikiliza Mbowe na nikarudia tena na tena. Hotuba yake haikujikita kabisa kwenye taarifa ya CAG. Ndugai angesema Zitto hapo sawa. Ndugai ana chuki binafsi na Mbowe. Kila mwenye akili timamu ya kuchambua bunge letu hili atakubali kuwa Ndugai ameliuwa bunge hili kabisa. Bunge ambalo kimsingi kazi yake ni kutunga sheria na kuisimamia serikali limegeuka kuwa mhuri wa serikali. Bunge limekuwa chama cha siasa likipitisha hoja za kisiasa bila kujali kazi na wajibu wake.

Ndugai ni mnafiki mkubwa. Eti sasa hivi anaona Jpm alipotoshwa. Bunge ndo lilitakiwa kumshauri. DHAIFU.
 
Huu ndiyo ukweli, leo spika Ndugai amesema Mbowe ametumwa kuja kuharibu riport ya CAG na kwa kwasababu alikuwa ulaya bila shaka bado Ndugai anaamini katika UBEBERU. Jambo la kusikitisha pia Ndugai ameshindwa kujibu hoja za taasisi ya CHADEMA bali amemuatack Mbowe personaly, na huu ni udhaifu mkubwa. Binafsi naamini uharibifu wa katiba na mambo yaliyotokea uchaguzi mkuu yalikuwa engineered Ofisini kwa Ndugai.
Job ana chuki binafsi kwa Aikael!
 
Sasa amejuaje kama inapotoshwa wakati yeye hajaisoma, hajui chochote na hao wabunge wanaounda LAAC na PAC hawajaichambua?

Ndugai ni Speaker wa HOVYO sana kuwahi kutokea katika historia ya Bunge letu tukufu. Ameiharibu sana taswira ya Bunge na sasa kila zuzu yeyote anatamani kuingia kule
DHAIFU SANA!!!
 
Huu ndiyo ukweli, leo spika Ndugai amesema Mbowe ametumwa kuja kuharibu riport ya CAG na kwa kwasababu alikuwa ulaya bila shaka bado Ndugai anaamini katika UBEBERU. Jambo la kusikitisha pia Ndugai ameshindwa kujibu hoja za taasisi ya CHADEMA bali amemuatack Mbowe personaly, na huu ni udhaifu mkubwa. Binafsi naamini uharibifu wa katiba na mambo yaliyotokea uchaguzi mkuu yalikuwa engineered Ofisini kwa Ndugai.
Mbowe ni mnafiki ,mwizi na wakala wa mabeberu.

Uzuri ni kaamba hatapenya na chama lake limeshajifia.
 
Ndugai yuko sahihi.

Mbowe amechambuliwa huko ulaya taarifa ya CAG akameza anakuja kujiropokea hapa Bongo.

Kwa tunaojua mambo ya kihasibu hatushangai na hua hatukurupukii taarifa ya CAG maana mkaguzi asipoelewa kitu basi hukibeba kama kilivyo kwenye report yake.

Ndio maana cases nyingi ambazo hua CAG anataja, watuhumiwa wakiitwa kwenye kamati za Bunge hua majibu yanatolewa na baadae zinaonekana hazina msingi.

Sasa Mbowe ametafsiriwa report na wazungu huko anakuja kujiropokea tu hapa.
Ni sehemu gani katika hotuba ya Mh. Mbowe ametaja ripoti ya CAG? Huyu mbilikimo wenu wadudu wameshapanda kichwani anajiropokea tu, na wewe ulivyo kilaza umemeza matapishi yake. Ndungai anateseka na roho yake ya usaliti na unafiki iliyojitokeza katika msimamo wake wa sasa juu ya mradi wa Bandari ya Bagamoyo. Aibebe mwenyewe aibu yake.
 
Huu ndiyo ukweli, leo spika Ndugai amesema Mbowe ametumwa kuja kuharibu riport ya CAG na kwa kwasababu alikuwa ulaya bila shaka bado Ndugai anaamini katika UBEBERU. Jambo la kusikitisha pia Ndugai ameshindwa kujibu hoja za taasisi ya CHADEMA bali amemuatack Mbowe personaly, na huu ni udhaifu mkubwa. Binafsi naamini uharibifu wa katiba na mambo yaliyotokea uchaguzi mkuu yalikuwa engineered Ofisini kwa Ndugai.
Huyo ni wa kumsamehe tu maana hajitambui.

Alikuwa ni mmijawapo aliyesema watamlazimisha mwendazake wabadili katiba ili bunge lipindishe katiba ili ukomo wa muda wa rais uongezeke.
 
Back
Top Bottom