Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG

Nahamisha magoli, kwani ww hujui kwamba mimi sikubaliani na hilo bunge kwa jinsi lilivyopatikana? Sasa unataka niamini taasisi ambayo ni zao za wizi wa kura, ndio nitegemee uadilifu kwao?
Usinitoe kwenye mstari.
 
Mimi nimeisikiliza hotuba ya Mh. Mbowe hakuna mahali amegusia ripoti ya CAG. Huyu Ndungai usaliti na unafiki wake aliounyesha kwenye mradi wa Bandari ya Bagamoyo ndiyo unamtesa anatafuta scapegoat. Ndungai ibebe mwenyewe aibu yako. Hufai kabisa wewe.
Your browser is not able to display this video.
 
Hata mimi nilimsikiliza Mbowe na nikarudia tena na tena. Hotuba yake haikujikita kabisa kwenye taarifa ya CAG. Ndugai angesema Zitto hapo sawa. Ndugai ana chuki binafsi na Mbowe. Kila mwenye akili timamu ya kuchambua bunge letu hili atakubali kuwa Ndugai ameliuwa bunge hili kabisa. Bunge ambalo kimsingi kazi yake ni kutunga sheria na kuisimamia serikali limegeuka kuwa mhuri wa serikali. Bunge limekuwa chama cha siasa likipitisha hoja za kisiasa bila kujali kazi na wajibu wake.

Ndugai ni mnafiki mkubwa. Eti sasa hivi anaona Jpm alipotoshwa. Bunge ndo lilitakiwa kumshauri. DHAIFU.
 
Job ana chuki binafsi kwa Aikael!
 
DHAIFU SANA!!!
 
Mbowe ni mnafiki ,mwizi na wakala wa mabeberu.

Uzuri ni kaamba hatapenya na chama lake limeshajifia.
 
Ni sehemu gani katika hotuba ya Mh. Mbowe ametaja ripoti ya CAG? Huyu mbilikimo wenu wadudu wameshapanda kichwani anajiropokea tu, na wewe ulivyo kilaza umemeza matapishi yake. Ndungai anateseka na roho yake ya usaliti na unafiki iliyojitokeza katika msimamo wake wa sasa juu ya mradi wa Bandari ya Bagamoyo. Aibebe mwenyewe aibu yake.
 
Huyo ni wa kumsamehe tu maana hajitambui.

Alikuwa ni mmijawapo aliyesema watamlazimisha mwendazake wabadili katiba ili bunge lipindishe katiba ili ukomo wa muda wa rais uongezeke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…