Spika Ndugai: Mbunge yoyote anayejihisi ana dalili za Corona ajifanyie Self Isolation na kuripoti hospitali haraka sana!

Spika Ndugai: Mbunge yoyote anayejihisi ana dalili za Corona ajifanyie Self Isolation na kuripoti hospitali haraka sana!

hao besti wanaitwa 'superspreader' kuna waliotoka nayo swiss alps January wakarudi Norway wameambukiza balaa. Wahanga wanadai wanafeel vitu kama vipande vya chupa vinasimikwa na kuchomekwa kooni na mapafuni.

Toba
Sasa humo bungeni wazee hao watamudu hayo
Wanaona kama movie shauri zao


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hata kupimwa hakusaidii. Tena kunaleta confidence mbaya na ya hatari ambayo inaweza kusababisha maambukizi zaidi. Imagine mtu akipima leo akikutwa hana kumbe wale virus aliambukizwa siku moja au mbili zilizopita? Nikupe mfano mmoja. Ndege ya mwisho ya Kenya Airways kutoka USA kabla hawajasitisha safari za USA ilirushwa na rubani mmoja anaitwa Daudi Kibati. Ilipofika Nairobi siku ya safari ya mwisho, ilibidi akae karantini kwa sababu alikuwa ametoak USA iliyokuwa na maambukizi mengi. Baada ya siku tatu wakam-test virus akawa hana lakini ikabidi akae karantini mpaka siku 14 ziishe. Siku ya tano wakam-test ikawa negative tena. Kufika siku ya tisa akaanza kuumwa na alipofanyiwa test ikawa positive na kufariki siku tatu baadae. Njia nzuri ya Bunge kufanya ni kukatiza vikao mara moja mpaka hali itakapokuwa nzuri.
Hii ndiyo njia sahihii ya kufuatwa kwa usalama wa dunia
 
Hata kupimwa hakusaidii. Tena kunaleta confidence mbaya na ya hatari ambayo inaweza kusababisha maambukizi zaidi. Imagine mtu akipima leo akikutwa hana kumbe wale virus aliambukizwa siku moja au mbili zilizopita? Nikupe mfano mmoja. Ndege ya mwisho ya Kenya Airways kutoka USA kabla hawajasitisha safari za USA ilirushwa na rubani mmoja anaitwa Daudi Kibati. Ilipofika Nairobi siku ya safari ya mwisho, ilibidi akae karantini kwa sababu alikuwa ametoak USA iliyokuwa na maambukizi mengi. Baada ya siku tatu wakam-test virus akawa hana lakini ikabidi akae karantini mpaka siku 14 ziishe. Siku ya tano wakam-test ikawa negative tena. Kufika siku ya tisa akaanza kuumwa na alipofanyiwa test ikawa positive na kufariki siku tatu baadae. Njia nzuri ya Bunge kufanya ni kukatiza vikao mara moja mpaka hali itakapokuwa nzuri.

Posho zinahatarisha usalama wao.
 
mpukutikoo jamanii..
FB_IMG_1587495879756.jpg
 
Noma sana....

Majority ya wabunge kama hana hypertension, basi atakuwa na kisukari; na tabia zao za kihuni hawakosagi na ngoma. Watakwisha wakifanya mchezo
 
Posho mbaya sn.......wabunge wa ccm wapo wanagawana pesa iliyokua iwe matibabu ya Lissu. Ndugu ai ana laana kuu.....
 
Jirani hapo kafa mwana michezo wa zamani hapo kwao pako wazi majirani wanaingia na kutoka bodaboda zinabeba watu, jumapili ibadani wote watakuwepo.

Hata serikali ya mtaa hata kuu iko kimya.

Serikali imetuchoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wabunge wanajimwambafy wao wapo juu ya sheria, ni kwann wenyewe hawawekwi karantini??
wao ni nani kuliko watz wengine??
kama ni shule wengi wetu huku kitaa tumewazidi...who are they???.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kupimwa hakusaidii. Tena kunaleta confidence mbaya na ya hatari ambayo inaweza kusababisha maambukizi zaidi. Imagine mtu akipima leo akikutwa hana kumbe wale virus aliambukizwa siku moja au mbili zilizopita? Nikupe mfano mmoja. Ndege ya mwisho ya Kenya Airways kutoka USA kabla hawajasitisha safari za USA ilirushwa na rubani mmoja anaitwa Daudi Kibati.

Ilipofika Nairobi siku ya safari ya mwisho, ilibidi akae karantini kwa sababu alikuwa ametoak USA iliyokuwa na maambukizi mengi. Baada ya siku tatu wakam-test virus akawa hana lakini ikabidi akae karantini mpaka siku 14 ziishe. Siku ya tano wakam-test ikawa negative tena.

Kufika siku ya tisa akaanza kuumwa na alipofanyiwa test ikawa positive na kufariki siku tatu baadae. Njia nzuri ya Bunge kufanya ni kukatiza vikao mara moja mpaka hali itakapokuwa nzuri.
Halafu wakikatisha vikao warudi tu mtaani? Hoja ya raia hapo wanataka wabunge wote wawekwe quarantine kwa siku 14 huku wakiendelea kupimwa! Hapo nawaelewa hao raia na mapendekezo yao!
 
Kwanini wasipimwe Hadi wasubiliwe kusema wenyewe hii mbona sisawa?
Spika wa bunge mh Ndugai amesema endapo mbunge yoyote anajihisi au atajihisi ana dalili za maambukizi ya Covid 19 kama zilivyoainishwa na wataalamu wa afya basi ajifanyie self isolation na kuripoti hospitali haraka sana.

Spika Ndugai ametoa mwongozo na tahadhari hiyo Bungeni leo hii na amesisitiza sana na kurudia rudia kwamba wabunge wenye dalili za maambukizi ya Covid 19 " WASISITE" kujiweka katika Karantini.

Source Clouds tv!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom