Spika Ndugai: Mbunge yoyote anayejihisi ana dalili za Corona ajifanyie Self Isolation na kuripoti hospitali haraka sana!

Spika Ndugai: Mbunge yoyote anayejihisi ana dalili za Corona ajifanyie Self Isolation na kuripoti hospitali haraka sana!

Kama spika na bunge lake hawajitambui, hawajui wafanye nini kwneye kipindi cha korona.
Yani wote ni trash.
Wanaisikilizia korona kweli?
Kwa hio haya mataka taka. Mnategemea yafanye jambo lenye manufaa kwa wananchi kweli?

Spika wa bunge mh Ndugai amesema endapo mbunge yoyote anajihisi au atajihisi ana dalili za maambukizi ya Covid 19 kama zilivyoainishwa na wataalamu wa afya basi ajifanyie self isolation na kuripoti hospitali haraka sana.

Spika Ndugai ametoa mwongozo na tahadhari hiyo Bungeni leo hii na amesisitiza sana na kurudia rudia kwamba wabunge wenye dalili za maambukizi ya Covid 19 " WASISITE" kujiweka katika Karantini.

Source Clouds tv!
 
Dodoma kumejaa taka taka trash. 🗑 ndio masna hawawezi kuisimamia Serikali. Sioni faida ya bunge kama Rais ndio anaea control. Ana budget ana plan. Anasema mipaka ifungwe au isifungwe. Hapo bunge lenyewe limejaa viazi.

Na rais mwenyewe ndio huyo kashajificha mnategemea nini cha maana zaidi.
Rais kakaa kimya anasubiri watu wafe apewe idadi
 
Hata kupimwa hakusaidii. Tena kunaleta confidence mbaya na ya hatari ambayo inaweza kusababisha maambukizi zaidi. Imagine mtu akipima leo akikutwa hana kumbe wale virus aliambukizwa siku moja au mbili zilizopita? Nikupe mfano mmoja. Ndege ya mwisho ya Kenya Airways kutoka USA kabla hawajasitisha safari za USA ilirushwa na rubani mmoja anaitwa Daudi Kibati.

Ilipofika Nairobi siku ya safari ya mwisho, ilibidi akae karantini kwa sababu alikuwa ametoak USA iliyokuwa na maambukizi mengi. Baada ya siku tatu wakam-test virus akawa hana lakini ikabidi akae karantini mpaka siku 14 ziishe. Siku ya tano wakam-test ikawa negative tena.

Kufika siku ya tisa akaanza kuumwa na alipofanyiwa test ikawa positive na kufariki siku tatu baadae. Njia nzuri ya Bunge kufanya ni kukatiza vikao mara moja mpaka hali itakapokuwa nzuri.
Nina wasiwasi na huko Ku test test,nako kunawezakuwa ni tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom