Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
hao besti wanaitwa 'superspreader' kuna waliotoka nayo swiss alps January wakarudi Norway wameambukiza balaa. Wahanga wanadai wanafeel vitu kama vipande vya chupa vinasimikwa na kuchomekwa kooni na mapafuni.
Ni kama Safe distance ile ya kwenye driving. Yaani umbali ambao hatuwezi kufikishiana droplets.Security distance?!
Nimeipenda hiyo!
What ?Mmmmmh mmmmmmh mmmmhhh..Mama Rwakatare kaliamsha dudeeee...ameuwasha moto bila kuwa na zima moto
Hii ndiyo njia sahihii ya kufuatwa kwa usalama wa duniaHata kupimwa hakusaidii. Tena kunaleta confidence mbaya na ya hatari ambayo inaweza kusababisha maambukizi zaidi. Imagine mtu akipima leo akikutwa hana kumbe wale virus aliambukizwa siku moja au mbili zilizopita? Nikupe mfano mmoja. Ndege ya mwisho ya Kenya Airways kutoka USA kabla hawajasitisha safari za USA ilirushwa na rubani mmoja anaitwa Daudi Kibati. Ilipofika Nairobi siku ya safari ya mwisho, ilibidi akae karantini kwa sababu alikuwa ametoak USA iliyokuwa na maambukizi mengi. Baada ya siku tatu wakam-test virus akawa hana lakini ikabidi akae karantini mpaka siku 14 ziishe. Siku ya tano wakam-test ikawa negative tena. Kufika siku ya tisa akaanza kuumwa na alipofanyiwa test ikawa positive na kufariki siku tatu baadae. Njia nzuri ya Bunge kufanya ni kukatiza vikao mara moja mpaka hali itakapokuwa nzuri.
Hata kupimwa hakusaidii. Tena kunaleta confidence mbaya na ya hatari ambayo inaweza kusababisha maambukizi zaidi. Imagine mtu akipima leo akikutwa hana kumbe wale virus aliambukizwa siku moja au mbili zilizopita? Nikupe mfano mmoja. Ndege ya mwisho ya Kenya Airways kutoka USA kabla hawajasitisha safari za USA ilirushwa na rubani mmoja anaitwa Daudi Kibati. Ilipofika Nairobi siku ya safari ya mwisho, ilibidi akae karantini kwa sababu alikuwa ametoak USA iliyokuwa na maambukizi mengi. Baada ya siku tatu wakam-test virus akawa hana lakini ikabidi akae karantini mpaka siku 14 ziishe. Siku ya tano wakam-test ikawa negative tena. Kufika siku ya tisa akaanza kuumwa na alipofanyiwa test ikawa positive na kufariki siku tatu baadae. Njia nzuri ya Bunge kufanya ni kukatiza vikao mara moja mpaka hali itakapokuwa nzuri.
Unaweza mpima kesho asubuhi akawa hana akaukwaa mchana au jioni. Kikubwa ni tahadhari muda woteMie siamini kuwa bunge linashindwa kuwapima wabunge wake, eti hadi kujihisi, ni hatari!
AbsolutelyWengine hawana dalili ila wanaambukiza tu. Hapo ndo kwenye Puzzle yenyewe. Cha muhimu wapimwe tu kwanza.
Mimi wasiwasi wangu ni Mbowe tu.Wengine hawana dalili ila wanaambukiza tu. Hapo ndo kwenye Puzzle yenyewe. Cha muhimu wapimwe tu kwanza.
DuhhhhNoma sana....
Majority ya wabunge kama hana hypertension, basi atakuwa na kisukari; na tabia zao za kihuni hawakosagi na ngoma. Watakwisha wakifanya mchezo
Mimi wasi wasi wangu mkubwa ni maghufool aliyeko karantini chattelMimi wasiwasi wangu ni Mbowe tu.
Kwani yeye yuko Bungeni? Umeambiwa kuna mbunge mmoja ana Corona, wewe unamtaja Jiwe? Pumbavu!!!Mimi wasi wasi wangu mkubwa ni maghufool aliyeko karantini chattel
Halafu wakikatisha vikao warudi tu mtaani? Hoja ya raia hapo wanataka wabunge wote wawekwe quarantine kwa siku 14 huku wakiendelea kupimwa! Hapo nawaelewa hao raia na mapendekezo yao!Hata kupimwa hakusaidii. Tena kunaleta confidence mbaya na ya hatari ambayo inaweza kusababisha maambukizi zaidi. Imagine mtu akipima leo akikutwa hana kumbe wale virus aliambukizwa siku moja au mbili zilizopita? Nikupe mfano mmoja. Ndege ya mwisho ya Kenya Airways kutoka USA kabla hawajasitisha safari za USA ilirushwa na rubani mmoja anaitwa Daudi Kibati.
Ilipofika Nairobi siku ya safari ya mwisho, ilibidi akae karantini kwa sababu alikuwa ametoak USA iliyokuwa na maambukizi mengi. Baada ya siku tatu wakam-test virus akawa hana lakini ikabidi akae karantini mpaka siku 14 ziishe. Siku ya tano wakam-test ikawa negative tena.
Kufika siku ya tisa akaanza kuumwa na alipofanyiwa test ikawa positive na kufariki siku tatu baadae. Njia nzuri ya Bunge kufanya ni kukatiza vikao mara moja mpaka hali itakapokuwa nzuri.
Spika wa bunge mh Ndugai amesema endapo mbunge yoyote anajihisi au atajihisi ana dalili za maambukizi ya Covid 19 kama zilivyoainishwa na wataalamu wa afya basi ajifanyie self isolation na kuripoti hospitali haraka sana.
Spika Ndugai ametoa mwongozo na tahadhari hiyo Bungeni leo hii na amesisitiza sana na kurudia rudia kwamba wabunge wenye dalili za maambukizi ya Covid 19 " WASISITE" kujiweka katika Karantini.
Source Clouds tv!
Kama wale waafrika kule China jamaa yalikua yanadunda tu but hayana dalili zozote na ndo maana wachina wakaanza kuwatimuaWengine hawana dalili ila wanaambukiza tu. Hapo ndo kwenye Puzzle yenyewe. Cha muhimu wapimwe tu kwanza.