Spika Job Ndugai ameendelea kutoa ufafanuzi juu ya utaratibu wa kuwavua ubunge wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA, Mh Spika ameendelea kusisitiza kuwa anaongoza Bunge kwa Katiba, Sharia, Kanuni, Hekima na Utamaduni ili kutenda haki.
Mhe. Spika amevitaka vyama vya siasa pale wanapotaka kuwavua uanachama wabunge yawapasa kuambatanisha Katiba ya chama chao pamoja na Muhtasari wa Kamati Tendaji ya chama iliyofanya maamuzi ya kuwavua uanachama wabunge wanaopaswa kuwafukuza ili naye apate kujilidhisha kama utaratibu ulifuatwa na atende haki pasi kumuonea mtu yeyote.
Mhe. Spika ameongeza kuwa kwa mujibu uo atafanyakazi pia na msajiri wa vyama vya siasa maana yeye ndo ana Katiba za chama na kila wanapofanya mabadiliko ya Katiba kwenye vyama ua anapelekewa nakara za katiba ambazo ni latest.
Mhe. Spika amemalizia kwa kuhoji kwanini Chadema hawapeleki hizo nakala? Wanaogopa nini?
Vitakuwa vipeperushi, ajitathimini kabla yakutoa matamko.Nchi hii ina wachambuzi wengi sana,rekodi take itakuwa historian kubwa sana ktk kabila lake na watoto wake.
Me nafikir ifikie wakat mambo ya kiofisi yapelekwe kwa taratibu za kiofisi, na hyo ndio professionalism.
Hivi spika aliwajibu CHADEMA ya kuwa barua waliyoiandika haikua barua ila kimemo?
Hivi taratibu alizozizungumzia na anazoendelea kuzizungumzia ya kwamba CHADEMA imewapasa kuzifuata anawaelekeza anapokua katika kiti chake Bungeni au amewaandikia official letter ili kuwajuza viongozi husika?
Bwana Job Ndugai, Bungeni sio sehemu ya kufanyia taarabu na propaganda. Waeleze hayo yote kupitia official letter na sio Bungeni!
Mkuu umeuliza awali zuri sana na wengi wanalikwepa. Je uteuzi wa wabunge ukifanywa na mamlaka sahihi?? Kwa sababu Ndugai anajifanya hajui walifukuzwa kwa sababu gani. John Mnyika anadai vikao husika havikuwateua hawa kuwa wabunge - anadai waligushi!! Na kufukuzwa kwao ni kwa sababu wabunge hawa walipoka mamlaka na kujiteua.
safi sana spika kama wanashindwa basi hawana nia ya kuwavua uanachama na kama hawaleti vielelezo basi kuna sehemu wamebugi sana wanaona wakileta tu kimewanukia siyo myika kwa kuwa aliambiwa na mdee kuwa alikuja na ndala chadema basi ndiyo anataka kumrudishia kwa hapo amenoa walete viambata
John Mnyika anadai vikao husika havikuwateua hawa kuwa wabunge - anadai waligushi!! Na kufukuzwa kwao ni kwa sababu wabunge hawa walipoka mamlaka na kujiteua.
Mkuu umeuliza awali zuri sana na wengi wanalikwepa. Je uteuzi wa wabunge ukifanywa na mamlaka sahihi?? Kwa sababu Ndugai anajifanya hajui walifukuzwa kwa sababu gani. John Mnyika anadai vikao husika havikuwateua hawa kuwa wabunge - anadai waligushi!! Na kufukuzwa kwao ni kwa sababu wabunge hawa walipoka mamlaka na kujiteua.
hapo ndiyo kwenye shida kuu kwanini mbowe yuko kimya sikuhizi anajuwa nani alipeleka majina sasa hawa wakienda kwenye rufaa tu kimenuka ndiyo maana hata rufaa hawataki utashtukia imefika 2025