Spika Ndugai: Mnaogopa nini kuleta viambatanishi ili tuwavue Ubunge kwa Haki?

Spika Ndugai: Mnaogopa nini kuleta viambatanishi ili tuwavue Ubunge kwa Haki?

Ndugai anajiamini sana inaonekana kuna kitu anakijua na mkiendelea kumtukana kuna siku atakisema.

Tatizo misukule ya chadema tukisema hili chezo Mbowe na Mnyika wanalijua hamtaki kuelewa, ndio maana wenzenu waliwaita nyumbu!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ndugai anajiamini sana inaonekana kuna kitu anakijua na mkiendelea kumtukana kuna siku atakisema.

Tatizo misukule ya chadema tukisema hili chezo Mbowe na Mnyika wanalijua hamtaki kuelewa, ndio maana wenzenu waliwaita nyumbu!
sawa kabisa kuna watu wanajuwa mbowe anajuwa na hata hao kina halima kwa hali ya kawaida tu manneno yote haya wangekuwa wamesha resign kuna kitu wanajuwa kinawalinda
 
Me nafikir ifikie wakat mambo ya kiofisi yapelekwe kwa taratibu za kiofisi, na hyo ndio professionalism.

Hivi spika aliwajibu CHADEMA ya kuwa barua waliyoiandika haikua barua ila kimemo?

Hivi taratibu alizozizungumzia na anazoendelea kuzizungumzia ya kwamba CHADEMA imewapasa kuzifuata anawaelekeza anapokua katika kiti chake Bungeni au amewaandikia official letter ili kuwajuza viongozi husika?

Bwana Job Ndugai, Bungeni sio sehemu ya kufanyia taarabu na propaganda. Waeleze hayo yote kupitia official letter na sio Bungeni!
Anawajubu kihuni sababu hata chadema wenyewe wanamsema kihuni
 
Hakidi haikutimia wakati watu maelfu kwa maelfu walikesha mlimani city kwenye kikao cha kamati kuu?

Chadema bwana dah,
Ndio maana mnaambiwa mnashabikia jambo ambalo halimjui

Kwani wakina Halima walifukuzwa mlimani city?
 
Najiuliza ikiwa CHADEMA hawawatambui, Kuandika barua na vielelezo ni kama wanakubali waliwapitisha mwanzo! au nasema uongo ndugu zangu 😱
 
Hapo ndio patamu sasa Je?nani aliwateuwa kuwa wabunge
mnyika aliandaa majina akapeleka kwa mbowe sasa kabla hawajayapeleka tume kukatokea kutoelewana kila mtu alitaka apeleke mkewake mbowe kwa kuwa alikuwemo halima akayapeleka fasta waende mahakamani kama haijakutwa sahihi ya mnyika kwenye hayo majina ndiyo maana wanaogopa
 
[emoji3][emoji3] Ati awapigie simu, mambo ya kiofisi hayawezi kwenda kwa mfumo huo, tatizo CDM wanaleta ujuaji wakati huo spika ashaona kosa lao lipo wapi, yupo anawachora tu.
Unamtetea huyo kichaa, dunia itakushangaa.
 
Hakidi haikutimia wakati watu maelfu kwa maelfu walikesha mlimani city kwenye kikao cha kamati kuu?
... hata kama isingetimia sio jukumu la Ndugai yeye sio mahakama. Hayo ya akidi kutokutimia wanatakiwa wakaieleze mahakama sio Ndugai kuhoji mambo ya ndani ya chama.
 
Muulizeni nani aliwateua hao Wabunge 19. Mbona anabweka tena. Halafu muulizeni kwanini hao wabunge wake wamekata rufaa ya kufukuzwa.
 
CHADEMA watajikuta hadi tunafika 2024 wao wanapambana kutaka wakina HALIMA MDEE wafukuzwe Bungeni huku mambo ya msingi ya kuimalisha chama na kujipanga kwa uchaguzi Mkuu ujao wakiyasahau na kujikuta wanashindwa vibaya kwenye uchaguzi na kuendelea kulalamika huku ni wenyewe waliosababisha hayo kwa kijikita kwenye mambo madogo na kuyaacha mambo ya msingi.
 
mnyika aliandaa majina akapeleka kwa mbowe sasa kabla hawajayapeleka tume kukatokea kutoelewana kila mtu alitaka apeleke mkewake mbowe kwa kuwa alikuwemo halima akayapeleka fasta waende mahakamani kama haijakutwa sahihi ya mnyika kwenye hayo majina ndiyo maana wanaogopa
Hii taarifa nani alikupa wewe au na wewe ni mmoja wao?
 
sawa kabisa kuna watu wanajuwa mbowe anajuwa na hata hao kina halima kwa hali ya kawaida tu manneno yote haya wangekuwa wamesha resign kuna kitu wanajuwa kinawalinda
Baada ya kile kikao cha kujifanya wanawavua uanachama Mdee alitokea hadharani akasema wao siyo watoto kwahiyo kina Mbowe wajaribu kuwa wastaarabu.

Huli suala Mbowe anajua
Mnyika anajua
Lisu anaweza kuwa hajuhusishwa maana alikuwa ameshakimbilia kwa amstedam.

Hii dana dana itaendelea hadi 2025 huku kina Mbowe wakichukua percent kadhaa kwenye mishahara ya hao wabunge 19
 
... hata kama isingetimia sio jukumu la Ndugai yeye sio mahakama. Hayo ya akidi kutokutimia wanatakiwa wakaieleze mahakama sio Ndugai kuhoji mambo ya ndani ya chama.
kwanini hawaendi mahakamani sasa
 
Back
Top Bottom