Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jiwe lao limetuhalibia Sana nchi yetu,siasa umebadilika na kuwa uhasama na uadui mkubwa kuliko awamu yoyote tangu tupate Uhuru. R.I.P Ben SaananeUnamuamini ndugai Sasa hv anatapatapa amfurahishe jiwe ili apewe usipika Tena na anakua dawa ya jiwe ni kuwaponda cdm kwan unafikiri yeye hausomi mchezo,
Alikuwa mnene na wowowo mtoto umbo namba nane kwa uzuri sasa hivi toka achaguliwe ubunge kakongoroka hadi anatia huruma.AFADHALI asingepata hivyo viti maalumuhivi Upendo Peneza yuko wapi?
Na vya CCM unatakiwa kufanyaje?kuwa ukitaka viti maalum Chadema, lazima Mwenyekiti na kambi yake waridhishwe na wewe.
Mkuu Chadema kuna uozo mwingi sana sema tunanyamaza tu
Yaani wewe hata baamed Ana afadhali,Mkuu Chadema kuna uozo mwingi sana sema tunanyamaza tu
Angesema wa CCM ningejua jamaa yuko serious na kuwatetea wanawake wa viti maalumu. Maana huko ndo kuna watu wamegeuza vitalu vya uwindaji.Leo nimemsikia Spika akiongea kuwa humo mjengoni hakuna siyejua shida wanazopitia wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Imekuwa siri ya wazi na iliyokubalika kwa jamii kuwa ukitaka viti maalum Chadema, lazima Mwenyekiti na kambi yake waridhishwe na wewe.
Ila leo ndo mara ya kwanza kumsikia mkuu wa mhimili husika, kuashiria kujua hivyo viti maalum vinagawiwa kwa vigezo gani, ambavyo ni kinyume na katiba.
Swali langu kwa Spika;
Je, anaona ni sahihi kwa kiti chake kufumbia macho hilo swala?
Kama mzazi mwenye watoto wa kike na kiongozi mkuu wa huo mhimili, amechukuwa hatua gani kuwalinda hao akina dada na wadada wajao dhidi ya ukatili huo?
Anapiga nyunguhivi Upendo Peneza yuko wapi?
Amekosa ya kuongeaAlikuwa mnene na wowowo mtoto umbo namba nane kwa uzuri sasa hivi toka achaguliwe ubunge kakongoroka hadi anatia huruma.AFADHALI asingepata hivyo viti maalumu
akina mama wengi viti maalumu chadema waliingia warembo wamependeza lakini sasa wengi wamekongoroka akiwemo Joyce Mukya
Chadema SI MAHALI SALAMA kwa wabunge viti maalumu kuna mdudu anawakoroa mkali kuliko corona,Ukiziona picha zao kabla kuingia viti maalumu na sasa utawahurumia
Ndugai yuko sahihi
Inaonesha anawatafuna sana
Sent from jamii forums
Acheni uongo,siku zoooote hamkuweza kuyasema hayo, eti leo ndio mnamsingizia mbunge mwenzenu hayo.Hakika apandacho mtu atavuna hichohicho.Na wewe yanakufuataLeo nimemsikia Spika akiongea kuwa humo mjengoni hakuna siyejua shida wanazopitia wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Imekuwa siri ya wazi na iliyokubalika kwa jamii kuwa ukitaka viti maalum Chadema, lazima Mwenyekiti na kambi yake waridhishwe na wewe.
Ila leo ndo mara ya kwanza kumsikia mkuu wa mhimili husika, kuashiria kujua hivyo viti maalum vinagawiwa kwa vigezo gani, ambavyo ni kinyume na katiba.
Swali langu kwa Spika;
Je, anaona ni sahihi kwa kiti chake kufumbia macho hilo swala?
Kama mzazi mwenye watoto wa kike na kiongozi mkuu wa huo mhimili, amechukuwa hatua gani kuwalinda hao akina dada na wadada wajao dhidi ya ukatili huo?
Ndugai alishasoma mchezo,ni kusifu na kuabudu tu bila kusahau kuponda cdm ili malaika asimtupe awamu ijayoUnamuamini ndugai Sasa hv anatapatapa amfurahishe jiwe ili apewe usipika Tena na anakua dawa ya jiwe ni kuwaponda cdm kwan unafikiri yeye hausomi mchezo,
Hata wewe ukijipendekeza unaliwa takoHata hao wa kuchaguliwa wanavyomuabudu jamaa kama ana tabia hizo lazima anawafyatua tu ili wajihakikishie kupitishwa.
To each their own.