Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

Zuzu Matonya ana manufaa kwa kikundi chake kilichomuweka hapo alipo. Kwa wananchi na taifa ni furushi la viazi vilivyooza.
 
Lilizima kuongelea bandari ya bagamoyo hadi jamaa kazima ndio eti anajitokeza tena, mie sielewi mtu mzima unajambo muhimu kwa taifa unamwogopa mtu kishikilia msimamo wako na kufafanua, mwenyewe sijui anajionjaje? Mtu mzima....!
 
Jenerali akasema,"Spika kwa nini ananisema nama hii? Basi nimeamua,sitaki awe spika kuanzia sasa."
 
hivi bunge lina heshima kweli
Kwa nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…