Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri mkuu. Ndiyo maana tunashangaa Ndugai kutoa maneno ya busara bungeni Siku hizi. Kipindi cha Magufuli na wakati wa Makinda hatumsikia akija na maneno yake ya busara.Kwani busara huwa zinaota kama majani mkuu 🤣
Si unaona mashavu yake yalivyoumuka kama ana safura,hizo ni dalili ARV zimedunda.Wengi hamjui kuna stage ARV huwa zinagoma.
La kuvunda halina ubani huyu kwisha habari yakeBwana Mdogo ndugaia anahitaji maombi makali sana
Huyu busara imempiga chenga ya mwiliKwani busara huwa zinaota kama majani mkuu [emoji1787]
Ni kweli Mkuu sio Mtanzania. Ni jamii ya WASHUTI (Wahamiaji) toka nchi jirani.Kwani Jenerali ni nani mpaka kudhihaki bunge na spika? Kwanza Jenerali siyo mtanzania
@ModeratorSisi wananchi tunashangazwa sana na ubabe wa kishamba unaofanywa kupitia mhimili wa Bunge letu. Ikumbukwe hili Bunge la sasa liliundwa kwa kukiuka taratibu nyingi sana kupitia kitu kinachofananishwa na Uchaguzi mkuu 2020
Tumemsikia Spika akitoa onyo kali dhidi ya Jenerali Ulimwengu kuwa wameishiwa uvumilivu.
1. Spika anakiuka ibara ya 18 ya Katiba ya sasa
2. Tangu uhuru mpaka leo, Bunge halijawahi kutunga sheria bali linapitisha miswada ya sheria zinazotungwa na Excutives. Ndo maana unasikia wabunge wanasema SERIKALI ILETE SHERIA BUNGENI ili waipitishe.
3. Ndugai atupatie ushahidi lini Bunge liliwahi kuiwajibisha serikali kupitia ripoti ya CAG
4. Je, kanuni za kudumu.za Bunge zilifuata utaratibu katika kutungwa na kupitishwa kwake? Kwanini zinatumika kama sheria wakati hazijakidhi vigezo vya kuwa sheria?
5. Bunge linatoa wapi mamlaka ya kutishia wananchi?
Bwana Ndugai, wananchi kwa sasa hawafuatilii sessions za Bunge. Haya ni matokeo ya kunajisi sheria za Uchaguzi na ukiukwaji wa maadili ya uongozi.
CCM tuna wakati mgumu sana 2025
Nipinge kwa hoja
hahaha wewe Mzee nani mwenye vidole nusu?Mtu mwenye vidole nusu si wa kujibishana nae
Hili zee tangu lilipowakumbatia waleSiyo Jenerali tu Watanzania wote wenye akili Timamu wanatambua wazi kuwa hilo siyo Bunge bali ni genge la majizi na Majambaz ya CCM
Tunamjua nje ndani hivyo atulize mshono..hahaha wewe Mzee nani mwenye vidole nusu?
Nan anamdharau eti? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HATA ningekwambia Ulimwengu aliongea nini naamini hata hujui.Kwani Jenerali ni nani mpaka kudhihaki bunge na spika? Kwanza Jenerali siyo mtanzania
wakati ulimwengu yupo kwenye siasa tena mbunge Ndugai alikuwa hajulikani na asilimia kubwa ya watanzaniaNdungai..anamuonya Ulimwengu?
Ama kweli ukikaa pembeni na siasa utakuja kuongozwa na watu uliowazidi akili..
Dah
Dr wake wa Mirembe amchome sindano ya kurudisha sanityLa kuvunda halina ubani huyu kwisha habari yake
hahahaha sawa najua unamjua nauliza nani hapo kati ya La General Ulimwengu na Job Ndugai ndio unajua Siri zake?Tunamjua nje ndani hivyo atulize mshono..
mkuu, kwani hii passpot size ya utambulisho hapa sio picha yako halisi!?Job Ndugai bado anaumwa
Wewe ndio mtanzania?Kwani Jenerali ni nani mpaka kudhihaki bunge na spika? Kwanza Jenerali siyo mtanzania