Spika Ndugai: Nimechaguliwa na watu 400,000 kuwa mbunge kwa miaka 25, mara mbili nimepita bila kupingwa, unaniita ZUZU?

Sindhani ata hao laki 4 wanafika.

Uchagizi wa siku hizi ni wizi wa wazi wazi.Inawezekana ni kura feki.
 
Sindhani ata hao laki 4 wanafika.

Uchagizi wa siku hizi ni wizi wa wazi wazi.Inawezekana ni kura feki.
Umenifungua macho, sensa ya mwaka 2012 inaonesha wilaya ya Kongwa ilikuwa na jumla ya watu 309,973. Nafikiria si rahisi kupata kura hizo laki 4 kwa Kongwa hata kama watu wameongezeka.
 
Mwingine alivyoona zuzu linapingwa na spika akajiita BWEGE
 
Hata pale alipompiga na rungu mgombea mwenzake aliyekuwa anaongoza kwenye hatua ya kura za maoni bado anadai alishinda kihalali ?, ndugai na zuzu na waliomchagua (ambao ni wachache sana) nao ni mazuzu pia.
 
Umenifungua macho, sensa ya mwaka 2012 inaonesha wilaya ya Kongwa ilikuwa na jumla ya watu 309,973. Nafikiria si rahisi kupata kura hizo laki 4 kwa Kongwa hata kama watu wameongezeka.
Mkuu asante, unajua mafisiem huwa yanaamini watanzania wote mabozongo,
 
Kama wanapi5isha Sheria za ajabu ,ambao baadaye wanazinduka kuwa hii Sheria ,tuliipitashajeπŸ˜‚πŸ˜‚
Sio ndio uzuzu wenyewe au !
 
Alipita bila kupingwa,wanakongwa wanakutaka wewe au hukusikia siku mwendazake aliposimama kuwasalimia walipomwambia hawakutaki!
 
Inawezekana katika mazuzu 400,000 wewe ndio una nafuu ndio maana wamekuchagua uwe mwakilishi wao!
HIV katika hao Laiki Nne yule uliyempiga Fimbo ya kichwa yumo?!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Azalaki Seyawaaa..,,,Seyawaaa!!!
Nabali mboni nangee,,,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umeitwa kwenye ufunguzi wa Azaki badala ya kuzungumzia mambo yanayohusiana na hilo wewe unaleta hayo si ndiyo uzuzu huo sasa anauthibitisha
Yaan katika wabunge 359+ hakuna mtu anaezungumza lugha ya wananchi ila wanazungumza lugha yao ambayo wananchi wanna[emoji15][emoji15] jarb kujiuliza hakuna mtu anaongelea Leo namn ambavyo wamachinga wanapata wanakuwa wakimbizi kwenye nchi yao,

Viongoz woooteee wamepigwa ganzi, hakuna ambae hata kusema tu hkuna, halafu watu waache kuwaita majina yanayowafaa[emoji15][emoji15][emoji125][emoji125][emoji125]??

Na signout[emoji56][emoji56]
 
Amesema matokeo ya kutoheshimiana ni wazee (ambao hakuwataja) wanawasema wabunge ni mazuzu wakati wana akili.
Wao wanajiona wana akili lakini uhalisia ndiyo unao define kuwa ni mazuzu
 
Angekuwepo zuzu mkuu yule mzee angekuwa ameshaokotwa mahali fulani asingevumilia kabisa kusikia mazuzu wakisakamwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…