Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Na amelaaniwa piaUsifananishe taka na vitu vya ajabu ajabu, unless hizo taka unazomaanisha ni haja kubwa!
Ndugai ni 'fises'
Lile bichwa kubwa limejaa uharo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na amelaaniwa piaUsifananishe taka na vitu vya ajabu ajabu, unless hizo taka unazomaanisha ni haja kubwa!
Ndugai ni 'fises'
Lile bichwa kubwa limejaa uharo
Naungana na weweCorona hebu tufanyie maajabu mengine tena!
Anatoa udenda tuHii kambale bora ikae kimya aisee.
Ana mtetea mke wake maana ni DEDMhe. Ndugai umenena kiutu uzima na umeeleweka kwa wenye akili na busara.
akiboronga mkurugenzi lazima safu yote ing'olewe kuanzia RC, DC na DED wao.
kwa mwendo huu naamini fedha za walipa kodi zitaheshimiwa.
Ma RC Ma DC na Ma DED acheni kuchezea fedha za walipa kodi, simamieni miradi ya maendeleo ktk maeneo yenu, acheni uzembe, ni aibu kubwa kuambiwa kwenye ripoti ya CAG kuwa kwenye mkoa wako kuna matumizi mabaya.
Badilikeni
unajichochea ujunga braza.Sisi tusiotenda mabaya tuna kinga kubwa sana ya mwenyezi Mungu - imeandikwa Mwenye HAKI ana kinga ya Muumba..
Sasa ukiwa si mtenda HAKI ulinzi wa Mungu unajitenga nawe hence adui anakweza kukuvamia na kuondoka na roho yako muda wowote ule...
hahaaaaaaaaaaaaaaaaa 🤣Corona hebu tufanyie maajabu mengine tena!
PUMBAVU LA KARNE
Spika Ndugai amesema wakuu wa mikoa na wilaya wana tabia ya kujifanya wao ni marais wa mikoa au wilaya, tabia ambayo siyo nzuri na haipendezi.
Ndugai amesema Rais wa nchi hii ni mmoja tu mh Samia Suluhu Hassan wakuu wa mikoa na wilaya wazingatie hilo.