Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏


Acha tu lazima asali nakuungamia
 
Ndugai kaboa, mbona kaongea ukweli anaomba radhi ya nini? Kwa ile kauli mm hajanikosea ila kosa la Ndugai ni kuendelea kuwakumbatia Wabunge 19 wasio na chama, huo ni wizi wa pesa za Watanzanja
Na jina lako linaakisi ukweli wa haya yaliyotokea. " Mzee kakanyaga dude"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…