Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Jua kuwa unaa si mpangoMwisho wa mwezi
1. Mshahara na marupurupu ya ubunge 11 milioni
2. Mshahara na marupurupu ya spika...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jua kuwa unaa si mpangoMwisho wa mwezi
1. Mshahara na marupurupu ya ubunge 11 milioni
2. Mshahara na marupurupu ya spika...
Mwisho wa mwezi
1. Mshahara na marupurupu ya ubunge 11 milioni
2. Mshahara na marupurupu ya spika... hayajulikani
3. Baada ya miaka 5, milioni 250 kiinua mgongo cha ubunge.
4. Kiinua mgongo cha spika ... hakijulikani.
Ukikusanya zote huko bilioni 1 kwa miaka Kitano tu.
Kwanini nisiombe msamaha hata kama ni mimi napiga na goti kabisa.
Huku mtaani vibarua kutwa nzima wanabeba tofali kichwani kwa 10k.
Utafanya biashara gani upate milioni 11 kwa mwezi
Na jina lako linaakisi ukweli wa haya yaliyotokea. " Mzee kakanyaga dude"Ndugai kaboa, mbona kaongea ukweli anaomba radhi ya nini? Kwa ile kauli mm hajanikosea ila kosa la Ndugai ni kuendelea kuwakumbatia Wabunge 19 wasio na chama, huo ni wizi wa pesa za Watanzanja
Hiyo treni sijui ataipitisha bonyokwaGanja sana ndio maana huongea vitu visivyokuwepo, eti kanunua treni.View attachment 2066874
Job ana cheti chake special, tuchukue tahadhariView attachment 2066877
Jamaa ana pepo la uwongoHiyo treni sijui ataipitisha bonyokwa
Ama kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Mtu kalaiiiika mwenyewe, ama kweli amewatia aibu 🤣🤣🤣
30 ersBandari ya uvuvi Ina mkataba wa miaka mingapi