johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Baada ya mkutano wa Bunge kuanza juzi ambapo kimsingi ni kama vile ni Bunge la CCM watupu Spika Ndugai ameonekana akibeba jukumu la kuikosoa na kuipa ushauri mbadala Serikali kazi ambayo ilikuwa ikifanywa kwa weledi mkubwa na Tundu Lissu, J J Mnyika na Zitto Kabwe walipokuwa bungeni.
Bunge la namna hii ndio kama lile la Chifu Adam Sapi Mkwawa wakati wa chama kimoja.
Juzi kati mzee Msekwa alisema bila kambi rasmi ya upinzani bungeni basi Bunge hilo huwa ni Bunge la chama kimoja kimaamuzi.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Bunge la namna hii ndio kama lile la Chifu Adam Sapi Mkwawa wakati wa chama kimoja.
Juzi kati mzee Msekwa alisema bila kambi rasmi ya upinzani bungeni basi Bunge hilo huwa ni Bunge la chama kimoja kimaamuzi.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!