Spika Ndugai sasa ni kama anafanya kazi zilizoachwa na Lissu na Mnyika Bungeni. Tumerudi kwenye Bunge la chama kimoja

Spika Ndugai sasa ni kama anafanya kazi zilizoachwa na Lissu na Mnyika Bungeni. Tumerudi kwenye Bunge la chama kimoja

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Baada ya mkutano wa Bunge kuanza juzi ambapo kimsingi ni kama vile ni Bunge la CCM watupu Spika Ndugai ameonekana akibeba jukumu la kuikosoa na kuipa ushauri mbadala Serikali kazi ambayo ilikuwa ikifanywa kwa weledi mkubwa na Tundu Lissu, J J Mnyika na Zitto Kabwe walipokuwa bungeni.

Bunge la namna hii ndio kama lile la Chifu Adam Sapi Mkwawa wakati wa chama kimoja.

Juzi kati mzee Msekwa alisema bila kambi rasmi ya upinzani bungeni basi Bunge hilo huwa ni Bunge la chama kimoja kimaamuzi.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
 
🤡🤡🤡
EW1pj.jpg
 
Bunge bila kambi ya upinzani ni batili. Hapo ni sawa na wako katika vikao vyao vya chama which is non sense kwa mustakabali wa taifa karne hii.
 
Katiba mpya ina gharama zake manka.
Mnooo......

Wakati mwingine kubadili "status quo" ni kukaribisha balaa.....balaa haswaaa......

Hayo ndiyo anayokutana nayo mh.Abiy Ahmed wa Ethiopia na mwishowe "anaitia kibiriti nchi"....

#Siempre JMT
 
Baada ya mkutano wa Bunge kuanza juzi ambapo kimsingi ni kama vile ni bunge la CCM watupu Spika Ndugai ameonekana akibeba jukumu la kuikosoa na kuipa ushauri mbadala Serikali kazi ambayo ilikuwa ikifanywa kwa weledi mkubwa na Tundu Lissu, J J Mnyika na Zitto Kabwe walipokuwa bungeni...
SPIKA kwa
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani
Mnadhimu mkuu Kambi ya Upinzani
Waziri KiVULI wa Wizara zote
BUNGE LA AJABU KUPATA KUTOKEA KTK MIAKA 60 YA UHURU
 
Mnooo......

Wakati mwingine kubadili "status quo" ni kukaribisha balaa.....balaa haswaaa......

Hayo ndiyo anayokutana nayo mh.Abiy Ahmed wa Ethiopia na mwishowe "anaitia kibiriti nchi"....

#Siempre JMT
Kuna nchi iliwahi kupiga hatua kwa kung'ang'ania "Status quo?". Abiy anafail kwa kutaka kurudisha status quo kwa nguvu baada ya kuanza mageuzi bila vision.
 
Mnooo......

Wakati mwingine kubadili "status quo" ni kukaribisha balaa.....balaa haswaaa......

Hayo ndiyo anayokutana nayo mh.Abiy Ahmed wa Ethiopia na mwishowe "anaitia kibiriti nchi"....

#Siempre JMT
Kuna wasiotaka mabadiliko kama Ccm, ndiyo hao hao wanaowaza kuleta machafuko na kuichoma nchi ilimradi masilahi yao bandia wabaki nayo.
 
Back
Top Bottom