Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mbona Africa Kusini walibadilisha "status quo" kwa kuwaondoa makaburu na hawakukaribisha balaa?
Mbona Ufaransa walibadilisha status quo kutoka ufalme hadi urais na hawakukaribisha balaa?
Mbona Zambia na Malawai wamebadilisha status quo na hawajajiletea mabalaa?
Mbona...
Mbona....
Mbona.......
Mbona Ufaransa walibadilisha status quo kutoka ufalme hadi urais na hawakukaribisha balaa?
Mbona Zambia na Malawai wamebadilisha status quo na hawajajiletea mabalaa?
Mbona...
Mbona....
Mbona.......
Mnooo......
Wakati mwingine kubadili "status quo" ni kukaribisha balaa.....balaa haswaaa......
Hayo ndiyo anayokutana nayo mh.Abiy Ahmed wa Ethiopia na mwishowe "anaitia kibiriti nchi"....
#Siempre JMT