Duu, hayo ndiyo mawazo yako, anyway ni uhuru wa mawazoMnooo......
Wakati mwingine kubadili "status quo" ni kukaribisha balaa.....balaa haswaaa......
Hayo ndiyo anayokutana nayo mh.Abiy Ahmed wa Ethiopia na mwishowe "anaitia kibiriti nchi"....
#Siempre JMT
Mnataka mpka mwone damu imemwagika mtaridhika siyo?Katiba mpya ina gharama zake manka.
Ya ethiopia achana nayo kwa kuwa inajulikana Wa_tigray yaani " ccm wa ethiopia" wameamua nchi ivurugike kwa kuwa wamepoteza madaraka.Mnooo......
Wakati mwingine kubadili "status quo" ni kukaribisha balaa.....balaa haswaaa......
Hayo ndiyo anayokutana nayo mh.Abiy Ahmed wa Ethiopia na mwishowe "anaitia kibiriti nchi"....
#Siempre JMT
WaTigrinya ni kabila.....CCM ni chama.... Ethiopia inatafunwa na SIASA ZA KIMANGIMEZA ZA KIKABILA.....Ya ethiopia achana nayo kwa kuwa inajulikana Wa_tigray yaani " ccm wa ethiopia" wameamua nchi ivurugike kwa kuwa wamepoteza madaraka.
Ni Mawaini wa kodi zetu kabisa hawa MaCCM , wanastahili kufukiwa chini ya ardhi wakiwa hai.Mungu wa mbinguni hawezi kuwabariki wahujumu uchumi.
Mtafuteni mungu wenu.
Kama vipi tuwape mungu wa dunia hii (aliyetajwa na Bwana Yesu pindi akiwa hapa duniani).
MaCCM wote wanaabudu maiti yao walioifukia Chato. MaCCM yamelaaniwa !Mungu wa mbinguni hawezi kuwabariki wahujumu uchumi.
Mtafuteni mungu wenu.
Kwahiyo unataka tunywe Sumu ndio tupate Katiba Mpya?Kuna kujitoa hata kufa kwa ajili ya wengine.
Sio kwamba MaCCM mmempanga DHAIFU, mnatafuta kuzima kinachoendelea mahakama ya kesi za kutunga uongo kwa tofauti za kiitikadi?!Baada ya mkutano wa Bunge kuanza juzi ambapo kimsingi ni kama vile ni Bunge la CCM watupu Spika Ndugai ameonekana akibeba jukumu la kuikosoa na kuipa ushauri mbadala Serikali kazi ambayo ilikuwa ikifanywa kwa weledi mkubwa na Tundu Lissu, J J Mnyika na Zitto Kabwe walipokuwa bungeni.
Bunge la namna hii ndio kama lile la Chifu Adam Sapi Mkwawa wakati wa chama kimoja.
Juzi kati mzee Msekwa alisema bila kambi rasmi ya upinzani bungeni basi Bunge hilo huwa ni Bunge la chama kimoja kimaamuzi.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Si kama ccm wote waliridhia hili jambo bali nani angepinga matakwa ya mwendazake? Katika hili jiwe aliharibu sana, kiongozi msikivu, asikilizae ushauri na maoni ya watu mbalimbali na mpenda watu hili asingeruhusu au kuwa chaguo lake kwa mustakabari wa nchi yake. Jiwe hakuwa na sifa hata moja ya hizo zaidi ya kujaa kiburi, umimi, visasi na kupenda sifaNdio matakwa ya ccm, kama ingekuwa kinyume chake au wameona umuhimu wa kuwa na wapinzani bungeni basi hizi chaguzi ndogo wangeacha wapinzani WATANGAZWE washindi ili kubalance mambo. Ila still wao ni wao tu.
subiri posho ikate urudi nyumbaniBaada ya mkutano wa Bunge kuanza juzi ambapo kimsingi ni kama vile ni Bunge la CCM watupu Spika Ndugai ameonekana akibeba jukumu la kuikosoa na kuipa ushauri mbadala Serikali kazi ambayo ilikuwa ikifanywa kwa weledi mkubwa na Tundu Lissu, J J Mnyika na Zitto Kabwe walipokuwa bungeni.
Bunge la namna hii ndio kama lile la Chifu Adam Sapi Mkwawa wakati wa chama kimoja.
Juzi kati mzee Msekwa alisema bila kambi rasmi ya upinzani bungeni basi Bunge hilo huwa ni Bunge la chama kimoja kimaamuzi.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Mpate kwanza katiba mpya ya Chadema!Kwahiyo unataka tunywe Sumu ndio tupate Katiba Mpya?
Wa_tigray walikuwa watawala kama walivyo ccm sasa. Kama wanavyoleta vurugu ethiopia hata hawa ccm ndivyo ambavyo watafanya.WaTigrinya ni kabila.....CCM ni chama.... Ethiopia inatafunwa na SIASA ZA KIMANGIMEZA ZA KIKABILA.....
Kwa hoja yako inakuwaje leo WAOROMO waliotengwa waungane na WATESI WAO wa miaka yote hao Tigrinya dhidi ya Abiy Ahmed?
Mkuu, siamini kama yalikuwa maamuzi ya Jiwe peke yake. Rejea uchaguzi wa jimbo la Konde kule zanzibar na chaguzi ndogo za marudio zilizofanyika baada ya jiwe kuondoka. Still ni maamuzi ya wakubwaSi kama ccm wote waliridhia hili jambo bali nani angepinga matakwa ya mwendazake? Katika hili jiwe aliharibu sana, kiongozi msikivu, asikilizae ushauri na maoni ya watu mbalimbali na mpenda watu hili asingeruhusu au kuwa chaguo lake kwa mustakabari wa nchi yake. Jiwe hakuwa na sifa hata moja ya hizo zaidi ya kujaa kiburi, umimi, visasi na kupenda sifa
Ni kweli usemalo bwashee!Mkuu, siamini kama yalikuwa maamuzi ya Jiwe peke yake. Rejea uchaguzi wa jimbo la Konde kule zanzibar na chaguzi ndogo za marudio zilizofanyika baada ya jiwe kuondoka. Still ni maamuzi ya wakubwa
[emoji1782][emoji1782][emoji1782]
View attachment 1998079