Spika Ndugai: Tunaomba Rais aitishe kikao cha Wanaume tu

Vikao vinasaidia nini?
 
Sasa mwanaume mzima ualikwe na mwanamke mkutano wa wanaume? Akilaza macho wewe ufanyeje?
 
Aitishe vikao na viongozi wa dini na vyama vya siasa
Tatizo karukia vijana wakati kati yao wamo wanawake ambao kisha kutana nao. yeye pia siyo kijana. Tayari kisha jichanganya kabla ya siku 100.
 
Sasa mwanaume mzima ualikwe na mwanamke mkutano wa wanaume? Akilaza macho wewe ufanyeje?

Wanaume tumkuwa na mfumo dume na Maraisi 5 leo Mama kaingia miezi tu wanaume wazima wanalia lia. Hawa ni wale wavivu ! tuache mambo ya wanawake. Kama una hoja za kiume ziweke hapa mikutano ya nini!
 
Uvivu wanaume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…