Spika Ndugai: Uingereza kuna Mbunge aliapishiwa hospitali akiwa amelazwa na "bahati" mbaya alifariki bila kwenda Bungeni

Spika Ndugai: Uingereza kuna Mbunge aliapishiwa hospitali akiwa amelazwa na "bahati" mbaya alifariki bila kwenda Bungeni

No. Maendeleo yana chama. Kwa miaka kadhaa Uturuki ilikuwa ikichukuliwa kama 'mtu mgonjwa wa Ulaya' kutokana na ubovu wa uchumi wake. Vyama kadhaa vimekuja vikaondoka lakini havikuweza kuuguza gonjwa gumu la kufanya uchumi wa Uturuki angalau ufanane hata na ule wa nchi maskini zaidi Ulaya (kabla ya Umoja wa Ulaya) Ureno.

Fast Forward, kimekuja chama cha Adala (Justice) cha Prime Minister Rajab Orduwan....hivi sasa Uturuki ndiyo yenye uchumi imara zaidi Ulaya, kiasi Wazungu (kama kawaida yao) wanaanza kuiweka mizengwe na kuipiga vita.

Uturuki ndiyo yenye fleet kubwa zaidi ya ndege duniani, ina uwanja mkuu zaidi wa ndege duniani, inazalisha vitu viwandani zaidi kuliko nchi zote za Ulaya ukitoa Ujerumani! Nani anasema maendeleo hayana chama? Kitoeni hicho chama chenu kizee muone kama nchi haitapaa!

Kwakweli waafrika ukiwatoa uwendaji wa china kununua bidhaa inafuata uwendaji wao huko uturuki kununua nguo na mashine na material za nguo
 
Katiba yao hyo yakwetu imeelekeza eneo mahususi. Sasa angeenda kumwapisha polepole kule lumumba
 
It is unfortunate that Tanzania has irrelevant scholars! Commonwealth? why don't you simply adopt Kenya's constitution and laws to guide our country simply because we all a commonwealth trajectory?

Please note Tanzania's constitutional guide to the effect:
Ibara ya 68; Katiba ya JMT inaelekeza na kutamka kama ifuatavyo kuhusu KIAPO cha WABUNGE:-

English

Every Member of Parliament shall be required to take and subscribe before the National Assembly the oath of allegiance before commencing to take part in the business of the National Assembly save that he may take part in the election of Speaker before taking that oath.

Kiswahili
Kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki katika shughuli za Bunge; lakini Mbunge aweza kushiriki katika uchaguzi wa Spika hata kabla hajaapishwa.

Maneno "before the National Assembly" na "kuapishwa katika Bunge" hayamaanishi pahala popote ambapo Spika ataona panafaa!

Ndugai is simply an anarchist

Adopt Kenya’s constitution? I think you’re talking about a different thing altogether!

We’re talking about similarities that exist in parliamentary practices of commonwealth countries.

I would rather refer you to a thread that contains my opinion on question of the oath of members of parliament:

 
B
Sasa katazo liko wapi?

Bunge ni pamoja na eneo lake lote!
Bunge ni chombo cha kutunga sheria ambalo utumia mikutano kukutana kwa kuzingatia quorum ya wajumbe pamoja na uwepo wa siwa.
kama ulishawai kufuatilia bunge kuna kipindi siwa linaondolewa na bunge linageuka linakuwa kamati
Na baada ya majadiliano kama kamati , siwa linarejeshwa na mwenyekiti anasema Bunge limerejea
Bunge sio majengo , taratibu zikifuatwa hata uwanja wa jamhuri Bunge linaweza kukutana
 
B

Bunge ni chombo cha kutunga sheria ambalo utumia mikutano kukutana kwa kuzingatia quorum ya wajumbe pamoja na uwepo wa siwa.
kama ulishawai kufuatilia bunge kuna kipindi siwa linaondolewa na bunge linageuka linakuwa kamati
Na baada ya majadiliano kama kamati , siwa linarejeshwa na mwenyekiti anasema Bunge limerejea
Bunge sio majengo , taratibu zikifuatwa hata uwanja wa jamhuri Bunge linaweza kukutana
Kwahiyo bunge ni siwa!
 
Kwahiyo bunge ni siwa!
Siwa ni Sehemu ya Bunge Siwa lisipokuwepo hicho kikao kinakuwa sio Bunge
Ndio maana likirudishwa yule mwenyekiti anavaa joho lake na kisha anasema Bunge limerejea

Bunge ni nadharia pana sana nawashangaa sana hawa wajinga wanaosema bunge ni eneo la bunge
 
Siwa ni Sehemu ya Bunge Siwa lisipokuwepo hicho kikao kinakuwa sio Bunge
Ndio maana likirudishwa yule mwenyekiti anavaa joho lake na kisha anasema Bunge limerejea

Bunge ni nadharia pana sana nawashangaa sana hawa wajinga wanaosema bunge ni eneo la bunge
Kwahiyo Spika Ndugai aliyeapishwa bila siwa kuwepo ni sawa na akina Mdee na Polepole?
 
Mwaka 1972 Senator Joe Biden (Rais mteule wa USA) aliapishwa akiwa hospitalini akiwauguza watoto wake wawili walionusurika kwenye ajali mbaya ya gari iliyochukua maisha ya mke wake na binti yake mdogo! Suala la wapi mtu anaapishwa linategemea na mazingira kulingana na kanuni zilizopo.
Hospitalin mtu still Yuko huru Bali ni mgonjwa ni tofauti na rumande hauko huru ni mazingira mawili tofauti
 
Swala ni katiba yako inasemaje sio nchi nyingine wanafanya nini. Sometimes tuna copy vitu vya wenzetu word for word na kuviingiza kwenye katiba yetu halafu application zake zinakuwa tofauti.

Ndio kama mambo ya kufukuzana vyama Uingereza ukifukuzwa uanachama bado unabakia mmbunge (independent), ukitoka mwenyewe kwenye chama ubunge wako unakoma hapo inabidi ukagombee upya.

Swala ni katiba inasemaje, sio fulani anafanya nini.
 
Muulize hapo kama huo uchaguzi wa UK aliona watu wakiingiza kura vituoni kupitia njia ya mabegi. Ama hao walioapishwa, majina yao hayakujadiliwa na vyama vyao vya siasa.
Mfano huu wa Spika Ndugai wa Mbunge wa Uingereza kuapishwa akiwa "mahututi" hospitalini na kwamba alikufa hapo hospitalini bila kukanyaga Bungeni unafikirisha.

Mstaafu Msekwa alisema Spika ni kama daktari anayepokea wagonjwa wengine wanapona na kuondoka na wengine wanakufa na kuondoka.

Kumbe kuapishwa ni jambo moja na kuingia Bungeni ni jambo lingine.

Hii inanikumbusha kuna watu huingia katika sakramenti ya ndoa takatifu wawapo kufani.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!

Maendeleo hayana vyama.
 
Kama UK walimwapisha mbunge hospitalini au chooni hiyo siyo hoja. Hoja ni kuwa katiba yetu iko black and white mahala pa kumwapisha mbunge, mengine yooote ni porojo za kuhalalisha ukiukwaji wa katiba. Katiba lazima ieshimiwe na yeyote anayaitakia nchi yetu maendeleo endelevu.
 
Back
Top Bottom