Spika Ndugai: Uingereza kuna Mbunge aliapishiwa hospitali akiwa amelazwa na "bahati" mbaya alifariki bila kwenda Bungeni

Spika Ndugai: Uingereza kuna Mbunge aliapishiwa hospitali akiwa amelazwa na "bahati" mbaya alifariki bila kwenda Bungeni

Hawa CCM waje waseme ni vitu gani tuwaige mabeberu na vipi tusiwaige!

Akitoa mfano kama huo mpinzani, unasikia hao mabeberu, mfano ametoa Ndugai wanakuwa akina nani?
🤣 🤣 🤣 balaa na nusu. Naunga mkono hoja yako. Wasiige nusunusu, waige kila kitu kutoka kwa mabeberu
 
Mfano huu wa Spika Ndugai wa Mbunge wa Uingereza kuapishwa akiwa "mahututi" hospitalini na kwamba alikufa hapo hospitalini bila kukanyaga Bungeni unafikirisha.

Mstaafu Msekwa alisema Spika ni kama daktari anayepokea wagonjwa wengine wanapona na kuondoka na wengine wanakufa na kuondoka.

Kumbe kuapishwa ni jambo moja na kuingia Bungeni ni jambo lingine.

Hii inanikumbusha kuna watu huingia katika sakramenti ya ndoa takatifu wawapo kufani.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!

Maendeleo hayana vyama.
Hakuna wakati kiti cha spika kimepwaya kama wakati huu. Hata mama Anne Makinda hakuwa namna hii, jamaa ni bogus sana
 
Back
Top Bottom