Magic Mike
Senior Member
- May 25, 2016
- 111
- 114
Siyo mihemuko. Kenya walishamfukuza uraia wa Kenya Bw. Miguna Miguna mwenye tabia kama ya Lissu ambaye alikimbilia kuishi Canada kama ambavyo Lissu aliyekimbilia kuishi Belgium.Hiyo sasa unajibu kwa mihemko
UmepanicNape zamu hii lazima avuliwe uanachama wa ccm, apoteze na hako kaubunge kake, akaungane na wenzake chadema. He is too much. Zamu ile aliomba samahani na akasamehewa (kwa mazungumuzo yake kwenye simu yaliyodukuliwa, wakimsema vibaya aliyekuwa rais wa JMT wakipanga mipango mibaya dhidi ya serikali).
Avuliwe uanachama wake wa ccm na tuone kama atang'ang'ania huo ubunge.
Juzi tulimwona akiwa na akina Lissu kwenye zoom wakiisema vibaya serikali ya awamu ya 6 chini ya mama yetu SSH!
Unajidanganya, hakuna mwisho wa ccm ndani ya Tanzania, jua lirapatwa na supernova ila ccm wataendelea kuwepo labda wachoke wao tu.Huu Ujanjaujanja Wa CCM una Mwisho Ipo Siku Inakuja
Mkuu tubet.Huyu hatoboi 2025
Unaongea as if ccm ni Mari ya Familia yenu.Nape zamu hii lazima avuliwe uanachama wa ccm, apoteze na hako kaubunge kake, akaungane na wenzake chadema. He is too much. Zamu ile aliomba samahani na akasamehewa (kwa mazungumuzo yake kwenye simu yaliyodukuliwa, wakimsema vibaya aliyekuwa rais wa JMT wakipanga mipango mibaya dhidi ya serikali).
Avuliwe uanachama wake wa ccm na tuone kama atang'ang'ania huo ubunge.
Juzi tulimwona akiwa na akina Lissu kwenye zoom wakiisema vibaya serikali ya awamu ya 6 chini ya mama yetu SSH!
Mama anafanya vizuri huku akina Ndugae wanazidi kuharibu.Zile kura za kupita bila kupingwa ndio zimetufikisha hapaHapa ndipo CCM inapofeli - Maza usikubali kuyaoga haya matope.
Chadema ni wasanii sanaIkiwezekana kila NDUGAI atakapoonekana hadharani azomewe kwa aibu anayoiletea Taifa.
Usahihi wake upi? Kuvunja katiba?Ndugai yuko sahihi
Ndugai mwongoChadema ni wasanii sana
Badala ya kuandika vibarua kila siku,itisheni Baraza kuu ambalo ndio hao wabunge wamekata rufaa
Mnaelewa kabisa kwamba hamkufuata taratibu za kuwatimua,mnasumbua wafuasi wenu
Uongo wake niniNdugai mwongo
Sawa ila wawakilishi toka kwenu ndio sample space yenu
Ndugu,Ona sasa wana chadema walioko huku Jf wanavyomtetea Nape. Hii inadhihirisha Nape ni mwenzao. Ni kati ya watu wanaompelekea taarifa Tundu Lissu huko Ubeligiji ili aendelee kuichafua nchi yetu.
Hilo jina lako haliendani kabisa na hoja butu unazotoa. Kwani Jiwe aliendanazo kabisa za vichwani mwenu. Tutaongeza maombi kuwakomboa ili muwe na mchango katika maendeleo ya taifa letu.Kwa alichokifanya na anachoendelea kufanya Tundu Lissu hakupaswa tu kufukuzwa ubunge bali pia uraia wa Tanzania. Kenya walishamfukuza uraia wa Kenya Bw. Miguna Miguna aliyeikimbilia kuishi nchini Canada.
Daah kama NCHI tuna safar ndefu mnoo!Leo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika wa Bunge Job Ndugai amesimama na kumkemea Nape Nauye, Mbunge wa Mtama ambaye hivi karibuni alitoa maoni yake binafsi kuwa wale wabunge 19 waliotimuliwa na CHADEMA sio wabunge halali..
WordNape Nnauye ni mwanasiasa makini na anajua siasa kuliko Ndugai.
Nape amekuwa kwenye sekretarieti ya chama lakini Job ameishia kwenye ujumbe wa kamati kuu tu sawa na akina Bulembo au yule dada albino ambaye ni mwanamuziki.
Katika hili la covid 19 Nape yuko sahihi!