Spika Ndugai: Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA wapo kwenye mikono salama

Spika Ndugai: Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA wapo kwenye mikono salama

Si Magufuli kafa na matatizo yote yameisha?

Sasa mnaogopa nini kwenda mahakamani?

Magufuli kafa na tumefurahi kwelikweli, lakini kwamba mahakama hazikuwa huru hilo sio la leo, ila kipindi chake ndio alizigeuza kuwa sehemu za kukomolea wote wasioendana na matakwa yake wazi wazi.
 
Nape zamu hii lazima avuliwe uanachama wa ccm, apoteze na hako kaubunge kake, akaungane na wenzake chadema. He is too much. Zamu ile aliomba samahani na akasamehewa (kwa mazungumuzo yake kwenye simu yaliyodukuliwa, wakimsema vibaya aliyekuwa rais wa JMT wakipanga mipango mibaya dhidi ya serikali).

Avuliwe uanachama wake wa ccm na tuone kama atang'ang'ania huo ubunge.
Juzi tulimwona akiwa na akina Lissu kwenye zoom wakiisema vibaya serikali ya awamu ya 6 chini ya mama yetu SSH!
Hilo jina lako na mabandiko yako haviendani. Inanikumbusha mbilikimo kuitwa tall, mweusi ti akiitwa zungu! Wewe ni lofa kabisa kiakili. Mwongo baradhuli aso haya. Unajiaibisha na kujidhalilisha mwenyewe. Nifanyalo sasa hivi ni kukurekebisha. Ndio lugha stahili kwa kibwengo kama wewe.

Nape alikuwa anamsema m/kiti wake wala si rais. Mungu anasemwa seuze rais. Umekuwa lofa kupitiliza. Tayari kujitoa ufahamu bila aibu. Hakika ulikunya aibu chooni. Ufahamu uliuchuza kwa upumbavu wako. Unatia kichefuchefu na hasira!
 
Kwani hao 19 walikosea nini? Mbona Mbowe hajaitisha conference na kwani Chadema wanapokea ruzuku? Kama ndio kwanini?
 
CDM kuhangaika na Jobo Ngudai mnajisumbua bure. Pelekeni kesi Mahakamani. Haya mambo ya hovyo yanatakiwa yasijirudie...
 
Leo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika wa Bunge Job Ndugai amesimama na kumkemea Nape Nauye, Mbunge wa Mtama ambaye hivi karibuni alitoa maoni yake binafsi kuwa wale wabunge 19 waliotimuliwa na CHADEMA sio wabunge halali.

Ndugai, akonekana mwenge wasiwasi na aliyepoteza mwelekeo akaanza kwa kujisifu kuwa yeye ni mzoefu, hivyo asipangiwe cha kufanya.

Ameenda mbali zaidi kwa kutaka kuonesha kuwa akina mama hao 19 wanaonewa na mfumo dume uliopo CHADEMA. Ndugai anasahau yeye na Profesa Lipumba walichowafanyia akina mama wa CUF walipovuliwa ubunge kwa kimemo cha Lipumba.

Mzee Ndugai atabaki katika historia kama SPIKA DHAIFU kuwahi kutokea. Tunazitaka Mamlaka za kulinda Katiba kuhakikisha KATIBA inalindwa.

Ikiwezekana kila NDUGAI atakapoonekana hadharani azomewe kwa aibu anayoiletea Taifa.
 
Pia nimesikia anampongeza Mtu aliyeulizia upatikanaji wa maji kwenye Jimbo la Lisu.

Anasema bora umeulizia maji maana mwenye hilo jimbo kakimbilia Belgium. Anasahau kuwa hapo Bungeni wapo wenyewe tu CCM?.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika wa Bunge Job Ndugai amesimama na kumkemea Nape Nauye, Mbunge wa Mtama ambaye hivi karibuni alitoa maoni yake binafsi kuwa wale wabunge 19 waliotimuliwa na CHADEMA sio wabunge halali.

Ndugai, akonekana mwenge wasiwasi na aliyepoteza mwelekeo akaanza kwa kujisifu kuwa yeye ni mzoefu, hivyo asipangiwe cha kufanya.

Ameenda mbali zaidi kwa kutaka kuonesha kuwa akina mama hao 19 wanaonewa na mfumo dume uliopo CHADEMA. Ndugai anasahau yeye na Profesa Lipumba walichowafanyia akina mama wa CUF walipovuliwa ubunge kwa kimemo cha Lipumba.

Mzee Ndugai atabaki katika historia kama SPIKA DHAIFU kuwahi kutokea. Tunazitaka Mamlaka za kulinda Katiba kuhakikisha KATIBA inalindwa.

Ikiwezekana kila NDUGAI atakapoonekana hadharani azomewe kwa aibu anayoiletea Taifa.
Ivi kiuhalisia hawakupaswa kuwa humo? Isijekuwa mnashindana na mkono wa Mumbaji kurithia wao kuwemo humo kwani njia zake sio njia zetu na mawazo yake siyo mawazo yetu, na hakuna jambo gumu kumshinda. Ukiua kwa upanga unakufa kwa huo upanga ukitenda mema utapendwa na Mumbaji au VP?
 
Kumuita Ndugai spika dhaifu ni kuficha tu ukweli,

Yule ni Spika wa hovyo hovyo toka Dunia hii imeumbwa, sijui Kama Kuna mwingine atakuja kumzidi uhovyo hovyo wake.
 
Kwani nyie hammuoni Ndugai ni mgonjwa? Angalia alivyojaa kama pulizo
Hata akili haziwezi kuwa sawa
 
Hilo jina lako na mabandiko yako haviendani. Inanikumbusha mbilikimo kuitwa tall, mweusi ti akiitwa zungu! Wewe ni lofa kabisa kiakili. Mwongo baradhuli aso haya. Unajiaibisha na kujidhalilisha mwenyewe. Nifanyalo sasa hivi ni kukurekebisha. Ndio lugha stahili kwa kibwengo kama wewe.

Nape alikuwa anamsema m/kiti wake wala si rais. Mungu anasemwa seuze rais. Umekuwa lofa kupitiliza. Tayari kujitoa ufahamu bila aibu. Hakika ulikunya aibu chooni. Ufahamu uliuchuza kwa upumbavu wako. Unatia kichefuchefu na hasira!
Punguza ukali wa maneno.
 
Nape zamu hii lazima avuliwe uanachama wa ccm, apoteze na hako kaubunge kake, akaungane na wenzake chadema. He is too much. Zamu ile aliomba samahani na akasamehewa (kwa mazungumuzo yake kwenye simu yaliyodukuliwa, wakimsema vibaya aliyekuwa rais wa JMT wakipanga mipango mibaya dhidi ya serikali).

Avuliwe uanachama wake wa ccm na tuone kama atang'ang'ania huo ubunge.
Juzi tulimwona akiwa na akina Lissu kwenye zoom wakiisema vibaya serikali ya awamu ya 6 chini ya mama yetu SSH!
Kama hakuvuliwa wakati wa Jiwe ndio imetoka hiyo,hatavuliwa tena kwanza Chama kimerudi upande wao.
 
Leo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika wa Bunge Job Ndugai amesimama na kumkemea Nape Nauye, Mbunge wa Mtama ambaye hivi karibuni alitoa maoni yake binafsi kuwa wale wabunge 19 waliotimuliwa na CHADEMA sio wabunge halali.

Ndugai, akonekana mwenge wasiwasi na aliyepoteza mwelekeo akaanza kwa kujisifu kuwa yeye ni mzoefu, hivyo asipangiwe cha kufanya.

Ameenda mbali zaidi kwa kutaka kuonesha kuwa akina mama hao 19 wanaonewa na mfumo dume uliopo CHADEMA. Ndugai anasahau yeye na Profesa Lipumba walichowafanyia akina mama wa CUF walipovuliwa ubunge kwa kimemo cha Lipumba.

Mzee Ndugai atabaki katika historia kama SPIKA DHAIFU kuwahi kutokea. Tunazitaka Mamlaka za kulinda Katiba kuhakikisha KATIBA inalindwa.

Ikiwezekana kila NDUGAI atakapoonekana hadharani azomewe kwa aibu anayoiletea Taifa.
Duh...!.
P
 
Back
Top Bottom