Spika Ndugai: Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA wapo kwenye mikono salama

Spika Ndugai: Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA wapo kwenye mikono salama

Mmmm. Nimeishia kuguna tu, nitaitafuta katiba yao niupate ukweli.
 
Ila kwa huyu mtu ndio maana bunge letu linasemwa kwa mambo mengi tena ya aibu!
Ni 'dhaifu' kutokana na uongozi!
Lina- 'demka' kutokana na uongozi.
 

Ukimsikiliza vizuri Spika Ndugai utagundua hana kabisa ule utimamu unaotakiwa mtu asifunguliwe faili katika ile hospitali yetu pale Dodoma hivyo yale maelezo yake kuwa analo faili kule ni kweli na hakuwa anatania.
Hebu fikiria mbona ayasemayo kuwa wapinzania eti wanafanya ndiyo afanyayo yeye na haheshimu utu wa wengine?
Kama hawezi kuziona kasoro hizo jee yuko timamu huyu?
Na kwa nini anafanya atakalo kinyume na katiba na sheria na hakuna anaye muonya au kumkemea even Rais Samia?
Au wanaogopa kutembezewa kipigo kama yule mgombea ubunge wa Kongwa aliyekula rungu la kichwa?


Jifunze kuheshimu viongozi wakubwa
Unaweza kufikisha ujumbe wako kwa lugha mzuri tu

Ndugai anakuzidi kila kitu mpaka dhambi

Mpe heshima yake
 
Nape zamu hii lazima avuliwe uanachama wa ccm, apoteze na hako kaubunge kake, akaungane na wenzake chadema. He is too much. Zamu ile aliomba samahani na akasamehewa (kwa mazungumuzo yake kwenye simu yaliyodukuliwa, wakimsema vibaya aliyekuwa rais wa JMT wakipanga mipango mibaya dhidi ya serikali). Avuliwe uanachama wake wa ccm na tuone kama atang'ang'ania huo ubunge.
Juzi tulimwona akiwa na akina Lissu kwenye zoom wakiisema vibaya serikali ya awamu ya 6 chini ya mama yetu SSH!
Mkuu kosa lake ni nini?
 
Sazingine mkiwa mnajifanya wajuaji sana inakule kwenu.

Anyway siasa ni mchezo mchafu naamini hata lisu pia anacheza rafu, kama alifikia hatua ya kutaka nchi isipewe msaada wowote na iwekewe vikwazo mi sishangai hii michezo vumilienitu.
 
Nimeshitushwa na huruma kwa wanawake aliyoipata mwaka huu, najiuliza alipofukuza wabunge 8 halali wa cuf mwaka 2017 hii huruma na busara anayotumia kwa hawa covid19 alishindwaje kuitumia kwa wale 8 wa cuf? Ama kweli huyu andunje atakuwa ana file mirembe.
 
Ni kweli mkuu huu ushauri wako kwa hizo taasisi ni wa maana sana, ni vyema wakaufanyia kazi. Lakini uzoefu unaonyesha viongozi wengi wa kiafrika huwa hawaheshimu katiba, wala hawaogopi mahakama, bali huogopa nguvu ya umma tu. Bila nguvu ya umma usitegemee lolote la maana huko mahakamani, kwani amri inaweza kutolewa na bado usifuatwe,ushahidi wa hilo upo.
Si Magufuli kafa na matatizo yote yameisha?

Sasa mnaogopa nini kwenda mahakamani?
 
Huyu spika kapoteza uzalendo kwa taifa, huwezi kuvunja katiba kizembe kiasi hicho. .
 
Hawaiheshimu katiba iliyopo,Je hata ikipatikana hiyo mnayodai wataiheshimu? Katiba yeyote itakayoasisiwa chini ya CCM haitakuwa na maslahi ya wanannchi bali watawala!!!
 
Nape zamu hii lazima avuliwe uanachama wa ccm, apoteze na hako kaubunge kake, akaungane na wenzake chadema. He is too much. Zamu ile aliomba samahani na akasamehewa (kwa mazungumuzo yake kwenye simu yaliyodukuliwa, wakimsema vibaya aliyekuwa rais wa JMT wakipanga mipango mibaya dhidi ya serikali). Avuliwe uanachama wake wa ccm na tuone kama atang'ang'ania huo ubunge.
Juzi tulimwona akiwa na akina Lissu kwenye zoom wakiisema vibaya serikali ya awamu ya 6 chini ya mama yetu SSH!
Kwa tabia yako ni kama vile watokea kwao akina Bashiru
 
Huyu spika kapoteza uzalendo kwa taifa, huwezi kuvunja katiba kizembe kiasi hicho. .
Ndugu yangu nisamehe, huyu Ndugai hajawahi kuwa mzalendo kwa nchi na taifa hili, wakati wowote.
Muda wote ni kulinda maslahi yake/yao binafsi.
Ni lazima ahakikishe anaelea muda wote, wakati wote.
 
CUF inakuhusu nini sisi adui wetu ni chadema
Ndio maana nikasema tangia Uhuru Tanzania haijawahi kupata spika wa hovyo kama dikiteta ndugai, anaongoza bunge si kwa mujibu wa sheria Bali kwa jinsi anavyotaka yeye.
 
Leo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika wa Bunge Job Ndugai amesimama na kumkemea Nape Nauye, Mbunge wa Mtama ambaye hivi karibuni alitoa maoni yake binafsi kuwa wale wabunge 19 waliotimuliwa na CHADEMA sio wabunge halali.

Ndugai, akonekana mwenge wasiwasi na aliyepoteza mwelekeo akaanza kwa kujisifu kuwa yeye ni mzoefu, hivyo asipangiwe cha kufanya.

Ameenda mbali zaidi kwa kutaka kuonesha kuwa akina mama hao 19 wanaonewa na mfumo dume uliopo CHADEMA. Ndugai anasahau yeye na Profesa Lipumba walichowafanyia akina mama wa CUF walipovuliwa ubunge kwa kimemo cha Lipumba.

Mzee Ndugai atabaki katika historia kama SPIKA DHAIFU kuwahi kutokea. Tunazitaka Mamlaka za kulinda Katiba kuhakikisha KATIBA inalindwa.

Ikiwezekana kila NDUGAI atakapoonekana hadharani azomewe kwa aibu anayoiletea Taifa.
Naunga mkono wazo la nguvu ya umma kuonyesha hisia zao kwa kuzomea.
DODOMA NA DAR, MKIONA GARI LA SPIKA PIGA KELELE "DHAIFU,DHAIFU, DHAIFU" maana huko sio kuvunja sheria bali ni kuonyesha hisia hasi kwa tabia zake mbovu.
Azomewe hadi mkewe yule DED wa Bahi akasirike na kumnyima unyumba maana anamwaibisha
 
Back
Top Bottom