Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Mi siyo msemaji wao. Ila wakipeleka watakuwa wamejimalizaSo, do you think Chadema haito peleka majina ya wabunge wa viti maalum..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi siyo msemaji wao. Ila wakipeleka watakuwa wamejimalizaSo, do you think Chadema haito peleka majina ya wabunge wa viti maalum..??
Okay....Mi siyo msemaji wao. Ila wakipeleka watakuwa wamejimaliza
Chadema acheni ujinga. Pelekeni wabunge bungeni. Walau hao kumi na tisa kila mmoja atachangia chama. Si huwa mnawakata ya kujenga chama ?Baadae msije kulia mitandaoni mnataka michango hata pango la Mtei mmeshindwa kulipa. Acheni kujitia kiburi wakati mmejaa shida.
Haramu yawezaje kuwa halali.?Acheni kujiumiza kwa sababu ya nani kasema nini juu yako. Jiamini. Hao ni watanzania. Wabunge 19 wa upinzani ni muhimu kuliko hao 200 + wa CCM.Acheni ujinga.
Acheni kujiumiza kwa sababu ya nani kasema nini juu yako. Jiamini. Hao ni watanzania. Wabunge 19 wa upinzani ni muhimu kuliko hao 200 + wa CCM.Acheni ujinga.
Mbona wewe hujafa? Ikiwa wanauawa hovyo bila sababu
Kwa nini unasema wasiende ?Hawaendi fullstop. Na wakienda ndio tutawapotezea mazima.
Ila Ndugai inabidi apimwe kichwa.Spika wa Bunge Job Ndugai amesema kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Bunge, wabunge 19 wa viti maalumu kutoka CHADEMA endapo hawatohudhuria mikutano mitatu ya Bunge, watakuwa wamejifukuzisha ubunge wenyewe.
Spika Ndugai amesema mkutano wa kwanza ni huu wa pili Januari na wa tatu Aprili.
My take.
Toka Sasa hadi April ni mbali sana, tutashudia vituko na mgawanyiko mkubwa Sana hapa katikati...huu ni mtihani mwingine ndani ya CHADEMA.
[emoji3][emoji3][emoji3]Kwani kwenye vita kuu ya dunia watu wote walikufa?
Yani kwa vile Marekani imesema basi ni madikteta?Swali bovu sana. Usielekeze mijadala kwenye dini ndugu yangu, inagawanya watu. Mimi sikujua kuwa Sadam, Gadaffi na akina Al Sisi ni Wakristo.
Kwa nini unasema wasiende ?
Unapiga ramli mkuu,Lana inampiga huyo na bado ,hawajui wanachokizungumza,mwaka huu miccm itapukutika hadi ndani ya bunge, miccm haipo na amani wanawindwa na mauti kila wanapoangalia, watapukutika kama kuku wa kideri, na wasijekujaribu kwenda kwa mganga kuzuia mauti yao ndio itakuwa balaa zaidi.
Mwenyezi Mungu ameombwa na ndugu na jamaa waliouliwa kwa makusudi katika uchaguzi huu, CCM mnazani mpo salama ?
Sijatishia uhai wa matumbo yaoMbona wewe hujafa? Ikiwa wanauawa hovyo bila sababu
Kwa ajili ya nn Hali uchaguzi umebakwa,wawape wake za mapolisi, mahera,siro,mabe,nk Hadi watimie 19 mbona ize tu.Acheni kujiumiza kwa sababu ya nani kasema nini juu yako. Jiamini. Hao ni watanzania. Wabunge 19 wa upinzani ni muhimu kuliko hao 200 + wa CCM.Acheni ujinga.
This will never help you.Kwa ajili ya nn Hali uchaguzi umebakwa,wawape wake za mapolisi, mahera,siro,mabe,nk Hadi watimie 19 mbona ize tu.
Kama lengo ni kuuwa upinzani ya nn bungeni
Te....te.. PolichiChiem...Wapewe Jamani wamefanya kazi kubwa...Hio viti maalumu wapewe polisi maana nao ni chama cha siasa wamefanya kazi nzuri Sana ya kuiweka CCM madarakani wapewe hata viti 10