Spika Ndugai: Wabunge waliotoroka wana madeni makubwa na ya ujanja ujanja hivyo atawakabidhi Serikalini wachukuliwe hatua

Spika Ndugai: Wabunge waliotoroka wana madeni makubwa na ya ujanja ujanja hivyo atawakabidhi Serikalini wachukuliwe hatua

..Spika huyuhuyu asiyeruhusu hotuba za kambi ya upinzani, leo analalama wabunge wa kambi hiyo kukacha vikao vya bunge.
 
Bila kuwataja kwa majina au chama, Spika Ndugai amesema wabunge wengi waliojitenga wana madeni makubwa hivyo hawaoni tija ya kuendelea kuhudhuria bungeni.

Spika anasema kwa uchunguzi mdogo alioufanya amegundua wabunge hao wana madeni ya ujanja ujanja na wanadhani wanaweza kuyakimbia hivyo ameshaitaarifu serikali iwachukulie hatua.

Source Star tv!

My take; Chadema wanapitia kipindi kigumu makamanda mjiandae kuwachangia

Maendeleo hayana vyama!
Kama mtu anadaiwa na anaacha chanzo cha mapato kitakachompatia uwezo wa kulipa si kuwa anaweza kulipa kwa vyanzo vingine? Spika huyu vipi?
 
..hivi haiwezekani kumpa Spika Ndugai kalikizo kadogo?

..huyu bwana inaelekea ana stress mbaya sana.

..hivi unaamini suala la madeni ya wabunge linawahusu cdm tu, upande wa ccm hawana tatizo kama hilo?

..Maendeleo hayana vyama. Na madeni hayana vyama.
Spika Ndugai amesema wabunge waliopo bungeni mahesabu yao yatarekebishwa!
 
Bila kuwataja kwa majina au chama, Spika Ndugai amesema wabunge wengi waliojitenga wana madeni makubwa hivyo hawaoni tija ya kuendelea kuhudhuria bungeni.

Spika anasema kwa uchunguzi mdogo alioufanya amegundua wabunge hao wana madeni ya ujanja ujanja na wanadhani wanaweza kuyakimbia hivyo ameshaitaarifu serikali iwachukulie hatua.

Source Star tv!

My take; Chadema wanapitia kipindi kigumu makamanda mjiandae kuwachangia

Maendeleo hayana vyama!
Anayepitia kipindi kigumu hapa ni Job acha kukwepesha. Ulishawahi kuona Mke unayempenda anakimbia nyumba yako na arafu usijue kaenda wapi kwa kutokubaliana na jinsi unavyoendesha familia lazima utatapatapa na kuvurugwa akili na hayo ndo yanayomkuta Supika kwa sasasa..Jamaaa kachanganyikiwa kwa wabunge wa Chadema kutokuwepo Bungeni wakati ukiangalia kwa idadi ya wabunge wanaoongoza kwa utoro bungeni kwa sasa ni wa CCM ..wapo wengine ni majangili wametiwa ndani wakiwinda wiki iliyopita...wengine wagonjwa zaidi ya miaka miwili achilia mbali Mawaziri na Manaibu waliojilockdown kwa kisingizio eti wana majukumu ya Kiserikali. lakini yeye kawamiss wa Chadema...
 
Write your reply...kila siku anatuambia madeni ya wapinzani kwa akili zake ndogo anaona hiyo ni point ya kuwaambia watu wenye akili timamu. takataka kabisa
 
..hivi haiwezekani kumpa Spika Ndugai kalikizo kadogo?

..huyu bwana inaelekea ana stress mbaya sana.

..hivi unaamini suala la madeni ya wabunge linawahusu cdm tu, upande wa ccm hawana tatizo kama hilo?

..Maendeleo hayana vyama. Na madeni hayana vyama.
Kuna ndugu yangu mmoja aliniambia hivi "Ukiona nyoka anaonekana onekana basi ujue na uzima wake upo ukingoni" Ujumbe huu bado sijaupatia maana sana na wakati gani haswa unapaswa kutumika, ila kwa kinachoendelea huko mjengoni basi, pasipo na shaka, JOKA kuu limefika ukingoni
 
Spika Ndugai amesema wabunge waliopo bungeni mahesabu yao yatarekebishwa!

..sielewi kwanini spika yuko so focused na wabunge "watoro" wa cdm.

..unless wabunge wa ccm nao wanatamani kuwa "watoro" kama ndugu zao wa cdm.

..kwani Mzee Mgaya anasemaje kuhusu suala hili? kwanini linamsumbua Spika kiasi hiki?
 
Kuna mbunge wa CCM namdai milioni 68 tayari ndugai ana taarifa na wameniambia watakamkata kwenye kiinua mgongo chake.
 
Hatujawahi kuwa na nchi yenye mihimili isiyojua majukumu yake kama muhula huu.

Hivi huyu sub woofer alishindwa kupitia video za speaker aliyemtangulia kweli ili zimsaidie kupata uzoefu.

Hivi madeni ya wabunge nayo yanaingia kwenye hansadi za kibunge.

Useless speaker ever....

Parliamentary is weak..

Executive unasigina katiba.

Judiciary.. hapa kidogo sometimes wanajitahidi.

Ila utawala huu nao ni kama corona tu utapita na tutasahau.

sent using Simenzi mayai
 
..sielewi kwanini spika yuko so focused na wabunge "watoro" wa cdm.

..unless wabunge wa ccm nao wanatamani kuwa "watoro" kama ndugu zao wa cdm.

..kwani Mzee Mgaya anasemaje kuhusu suala hili? kwanini linamsumbua Spika kiasi hiki?
Mzee Mgaya anasema katika hili Spika Ndugai ameshika mpini na watoro wameshika makali!
 
Hhahaha Huyu Spika anajisahau sana.
Aangalie asije akaingia kwenye record. Na anajua kula 🦠 🦠 kimengia white house ya USA? Awe makini asijisahau sana maana kila kukicha Chadema Chadema. Wananchi wamechota asione wapo kimya, hao wanaoshangili ni mataga ambao wanalipwa
Bila kuwataja kwa majina au chama, Spika Ndugai amesema wabunge wengi waliojitenga wana madeni makubwa hivyo hawaoni tija ya kuendelea kuhudhuria bungeni.

Spika anasema kwa uchunguzi mdogo alioufanya amegundua wabunge hao wana madeni ya ujanja ujanja na wanadhani wanaweza kuyakimbia hivyo ameshaitaarifu serikali iwachukulie hatua.

Ndugai amewataka wabunge wanaohudhuria vikao kutoshtushwa na mahesabu ya madeni waliyopewa na idara ya uhasibu kwani mahesabu hayo yatafanyiwa marekebisho ili wasiondoke Dodoma mikono mitupu.

Source Star tv!

My take; Chadema wanapitia kipindi kigumu makamanda mjiandae kuwachangia

Maendeleo hayana vyama!
 
Bila kuwataja kwa majina au chama, Spika Ndugai amesema wabunge wengi waliojitenga wana madeni makubwa hivyo hawaoni tija ya kuendelea kuhudhuria bungeni.

Spika anasema kwa uchunguzi mdogo alioufanya amegundua wabunge hao wana madeni ya ujanja ujanja na wanadhani wanaweza kuyakimbia hivyo ameshaitaarifu serikali iwachukulie hatua.

Ndugai amewataka wabunge wanaohudhuria vikao kutoshtushwa na mahesabu ya madeni waliyopewa na idara ya uhasibu kwani mahesabu hayo yatafanyiwa marekebisho ili wasiondoke Dodoma mikono mitupu.

Source Star tv!

My take; Chadema wanapitia kipindi kigumu makamanda mjiandae kuwachangia

Maendeleo hayana vyama!

Hivyo ndio vitisho wanavyopewaga wabunge wa ccm ili waunge mkono kila uhuni wa serikali, na iwapo mbunge wa ccm hatuunga mkono uhuni wa serikali, basi mtego wa madeni hutumika kumtisha. Hizo mbinu za Ndugai za kuleta vitisho mbuzi ni mikwara ya kizee ile mbaya. Hii inaonekana ndio mbinu kubwa ya Ndugai kuziba watu midomo, hii ni zaidi ya mara moja kila akitaka kuleta vitisho vya kipuuzi kwa wabunge hasa wa cdm hutaja madeni yao.
 
Back
Top Bottom