Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Dalili za mvua izo, ngoja spika ajijengee msingi kwa wananchi. Kama wameshndwa kujitunzia imani afanyeje wakati ananafasiHakuna akili kumrudi mtu hapo, issue ni kuwa yapo maslahi ya kundi Fulani
Wasipoangalia watavunja kauli ya baba wa taifa kuhusu taifa kuongozwa nje ya sisiemMaji yamekorogeka Mnara wa Babeli umeanza kuyumba-yumba.
Pambaf.
Akirudi tu kwenye vikao vya bunge akili zinavurugika tena anaanza upyaaaa.to me naona kama akili zinaanza kumrudia Ndugai, ngoja tumpe muda tumsikie kwa lingine
Ngoja tumsibiri vikao vianzeAkirudi tu kwenye vikao vya bunge akili zinavurugika tena anaanza upyaaaa.
Kukwepa kuwajibika, iambie serekali ilete hizo kanunu Wabunge waziptie,Spika Ndugai amewaasa watu waache kulishambulia bunhe kwamba Wanapitisha Sheria za Bunge zisizo faa. Amedai saa nyingine Kanuni za Sheria ndio zinakiwa na tatizo. Baadala ya kulaumu, leteni hizo Kanuni tuzibadilishe. "Wanasema Bunge Ovyo, Wabunge hawana maana, hawajui kanuni za Sheria zinatungwa na Mawaziri"
View attachment 2061968
Aondoke zake pumbafSpika Ndugai amewaasa watu waache kulishambulia bunhe kwamba Wanapitisha Sheria za Bunge zisizo faa. Amedai saa nyingine Kanuni za Sheria ndio zinakiwa na tatizo. Baadala ya kulaumu, leteni hizo Kanuni tuzibadilishe. "Wanasema Bunge Ovyo, Wabunge hawana maana, hawajui kanuni za Sheria zinatungwa na Mawaziri"
View attachment 2061968