Spika sikiliza ushauri wa Mpina, iundwe tume kuchunguza kwa nini January Makamba amechelewesha mradi wa JNHP. Pia mizengwe ya bei ya mbolea

Ubongo wako umejaa kinyesi
 
Mtu atuambie

1. Bwawa lilianza lini?
2. Lilipangwa kujengwa kwa muda gani?
3. Mpaka 17 March 2021 lilikuwa limefikia hatua gani?
4. Mpaka 20 June 2022 lilikuwa limefikia hatua gani?

Tukipata hizi data tutajua namna bora ya ku-deal na hili jambo
 
Kwani kuunda tume na kujua tatizo kuna tatizo gani. Kama tulidanganywa si tutajua. Alafu kama hoja ni nzuri au ina mashiko, basi haijalishi kama inatoka sukuma gang, pwani gang, chadema au ccm. Ifanyiwe kazi.
 
Kwani kuunda tume na kujua tatizo kuna tatizo gani. Kama tulidanganywa si tutajua. Alafu kama hoja ni nzuri au ina mashiko, basi haijalishi kama inatoka sukuma gang, pwani gang, chadema au ccm. Ifanyiwe kazi.
Matatizo yanajulikana,time ya nini
 
Spika hawezi kukubali yeye ni kivuli tu, spika yuko Ikulu
 
Sasa unamgeuza spika hamnazo kamati nzima ya bunge ilienda na kuleta repoti bungeni sasa aunde kamati nyingine ya nini
 
Tuache kuishi maisha ya Jana , Kama ametoa hoja yenye maslahi aungwe mkono,
Acha siasa za kuangalia watu zitakutesa,
Angalia hoja Ina uzito gani

Sintokaa niunge mkono yoyote aliyeshiriki kunajisi demokrasia ya nchi hii chini ya dhalimu. Haijalishi atakuja na hoja yenye ubora kiasi gani.
 
We unajuaje hajakubali. Acha ujinga
Mbona unalazimisha? Speaker akikubali huwa anatangaza na wajumbe wa tune huteuliwa.
Hajakubali bado ndio kimya. Lakin spika hafanyi maamuz mwenyewe.. baraka zabikulu lazima ziwapo otherwise hiyo hoja imeishia hapo.
 
We sukuma gang hujakoma tu kumuandama January Makamba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…