Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mh Tulia Ackson ametoa ushauri huo ndani ya bunge analoliongoza , kwa hoja kwamba Taarifa za vifo zinazotangazwa kila kukicha na Jeshi la Polisi hazisaidii kupunguza mauaji , na badala yake zinasababisha mauaji kuongezeka zaidi.
Bado haijafahamika hasa lengo la hoja yake hiyo.
Bali ikumbukwe kwamba wakati wa awamu ya 5 ambako vifo na maiti nyingi ziliripotiwa huko baharini na kwenye viroba , Dr Tulia alikuwa Naibu Spika na hakuwahi kushauri taarifa zile zifichwe.
========
Spika Tulia Ackson amesema kuwa ongezeko la mauaji huenda linatokana na kuripotiwa sana kwa taarifa za mauaji kutoka kwa polisi kwenda kwa vyombo vya habari hivyo taarifa hizo kuwa kama ni nzito na watu kuona huenda ni jambo la kawaida na kwa kuwa limetokea kuko na kule nao kuona hata wao wanaweza kufanya yaani ni kitu chepesi tu kujitoa uhai.
Ameshauri Wizara ya mambo ya Ndani watafute njia za kukabiliana na tatizo la mauaji yatokanayo na wivu wa mapenzi hasa kwa kuanza kushirikisha watu wa chini kabisa wawaulize kwa nini wivu wa mapenzi huenda wakapata njia za kumaliza tatizo hilo.
Bado haijafahamika hasa lengo la hoja yake hiyo.
Bali ikumbukwe kwamba wakati wa awamu ya 5 ambako vifo na maiti nyingi ziliripotiwa huko baharini na kwenye viroba , Dr Tulia alikuwa Naibu Spika na hakuwahi kushauri taarifa zile zifichwe.
========
Spika Tulia Ackson amesema kuwa ongezeko la mauaji huenda linatokana na kuripotiwa sana kwa taarifa za mauaji kutoka kwa polisi kwenda kwa vyombo vya habari hivyo taarifa hizo kuwa kama ni nzito na watu kuona huenda ni jambo la kawaida na kwa kuwa limetokea kuko na kule nao kuona hata wao wanaweza kufanya yaani ni kitu chepesi tu kujitoa uhai.
Ameshauri Wizara ya mambo ya Ndani watafute njia za kukabiliana na tatizo la mauaji yatokanayo na wivu wa mapenzi hasa kwa kuanza kushirikisha watu wa chini kabisa wawaulize kwa nini wivu wa mapenzi huenda wakapata njia za kumaliza tatizo hilo.