4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Huyu mtoto wa kike , ajiandae kutana na mapigo 47, ni swala la mda asema Bwana, na ikifika asijea tokea yeyote tamka eti tumwombe, atakae dhububu , mkono wa bwana atakutana nao, asema BwanaSpika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.
Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.
Huyu mwananke sijuwi kama huwa anakijuwa anachokizungumza, eti msomi wa hali ya juu. Unafiki ni kazi ngum sana, na ukiwakuta msikitini au makanisani wapo viti vye mbele wakiitaka Mbingu..,Anaposema bunge linatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi, halafu akasema tena bunge limeshamaliza mjadala kuhusu bandari, anaamanisha bunge la sasa sio mwakilishi wa wananchi, kwasababu bunge haliwezi kuzuia kujadili kile ambacho wananchi wanataka, kwa kifupi ni kwamba, hili bunge la Spika Tulia sio mwakilishi wa wananchi.
Simu umenunua liniMkataba upi mlishawahi kuupigia kelele kama huu wa waarabu?
Williamson mpaka leo hii wapo, mbona mpo kimya! Kisa mzungu! Wachina wameingia mkataba na viwanda vingi mbona mpo kimya! Kisa mwarabu/muislamu! Asilimia kubwa ukichunguza wanaopinga mkataba huu ni wakristo.
sio kwa utashi wake,anatekeleza maelekezo toka magogoni, period.Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.
Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.
Njiti anajidanganya, ukweli sakata hili limeivua nguo serikali,CCM na bunge lao la mchongo ila hawataki kuchutama tu. Hii janja janja anayotumia njiti hampati mtu. Limewadodea hili na hizi ni dalili za nyani kutema bungo. Shetani hawezi kumshinda Mungu kamwe.Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.
Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.
Williamson hawajawahi lipa chochote tz tangu wazaliwe,wanadai hawajawahi PATA faidaMjinga wewe kwani mkataba wa bandari unalinganisha na wa Williamson! Kama muislamu ni mjinga kama wewe atapingwa tu!
Siyo kweli! Williamson walikuwa wanalipa gawio miaka yote hadi wakati wa Kikwete!Williamson hawajawahi lipa chochote tz tangu wazaliwe,wanadai hawajawahi PATA faida
Anaeleweka sana kuwa yeye anasimamia kwenye mlo tu.Mbona haeleweki anasimamia wapi?
Hawajawahi,acha kubisha,na nadhani waliuza migodi yao kwa kampuni ya rostam,jina limenitokaSiyo kweli! Williamson walikuwa wanalipa gawio miaka yote hadi wakati wa Kikwete!
Sijaelewa hii maana yake niniSpika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.
Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.
Bila kujadil unawezaje, kuufuta au kuusitisha huo mkataba.Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.
Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.
Yani sura sio ya binadamu ....sura mjusi kafiri au kinyongaSpika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.
Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.
Simu umenunua lini
Mjinga wewe kwani mkataba wa bandari unalinganisha na wa Williamson! Kama muislamu ni mjinga kama wewe atapingwa tu!
Hako kamwanamke kabaya na lenye figure kama jini sikapendi na nakachukia kuliko hata shetani