Spika Tulia Ackson azuia Mjadala wa Sakata la Bandari Bungeni, asema Bunge lilishatoa maamuzi

Spika Tulia Ackson azuia Mjadala wa Sakata la Bandari Bungeni, asema Bunge lilishatoa maamuzi

Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.

Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.

Huyu mtoto wa kike , ajiandae kutana na mapigo 47, ni swala la mda asema Bwana, na ikifika asijea tokea yeyote tamka eti tumwombe, atakae dhububu , mkono wa bwana atakutana nao, asema Bwana
 
Anaposema bunge linatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi, halafu akasema tena bunge limeshamaliza mjadala kuhusu bandari, anaamanisha bunge la sasa sio mwakilishi wa wananchi, kwasababu bunge haliwezi kuzuia kujadili kile ambacho wananchi wanataka, kwa kifupi ni kwamba, hili bunge la Spika Tulia sio mwakilishi wa wananchi.
Huyu mwananke sijuwi kama huwa anakijuwa anachokizungumza, eti msomi wa hali ya juu. Unafiki ni kazi ngum sana, na ukiwakuta msikitini au makanisani wapo viti vye mbele wakiitaka Mbingu..,
 
Mkataba upi mlishawahi kuupigia kelele kama huu wa waarabu?

Williamson mpaka leo hii wapo, mbona mpo kimya! Kisa mzungu! Wachina wameingia mkataba na viwanda vingi mbona mpo kimya! Kisa mwarabu/muislamu! Asilimia kubwa ukichunguza wanaopinga mkataba huu ni wakristo.
Simu umenunua lini
 
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.

Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.

sio kwa utashi wake,anatekeleza maelekezo toka magogoni, period.
 
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.

Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.

Njiti anajidanganya, ukweli sakata hili limeivua nguo serikali,CCM na bunge lao la mchongo ila hawataki kuchutama tu. Hii janja janja anayotumia njiti hampati mtu. Limewadodea hili na hizi ni dalili za nyani kutema bungo. Shetani hawezi kumshinda Mungu kamwe.
 
Mjinga wewe kwani mkataba wa bandari unalinganisha na wa Williamson! Kama muislamu ni mjinga kama wewe atapingwa tu!
Williamson hawajawahi lipa chochote tz tangu wazaliwe,wanadai hawajawahi PATA faida
 
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.

Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.

Sijaelewa hii maana yake nini
 
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.

Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.

Bila kujadil unawezaje, kuufuta au kuusitisha huo mkataba.
 
Yale waliyo yapitisha yalikuwa matakwa yao wa bunge na sio matakwa ya wananchi .Nakama tujuavyo viongozi wengi wana kusumba ya kutokukubali kwamba wamekosea kwa kuogopa kuonekana kwamba ni dhaifu.
 
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amezuia mjadala wa sakata la bandari kuzungumzwa bungeni lakini akaruhusu kuwa litakapokuja kwa utaratibu mwingine wa kibunge itakuwa ruksa.

Spika Dk Tulia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 29,2023 muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya wabunge ambapo amesema kuwa bunge lilishamaliza mjadala huo hivyo wabunge wanatakiwa kuendelea kuwasikiliza wananchi.

Yani sura sio ya binadamu ....sura mjusi kafiri au kinyonga
20220516_233105.jpeg
 
Hako kamwanamke kabaya na lenye figure kama jini sikapendi na nakachukia kuliko hata shetani
 
Mjinga wewe kwani mkataba wa bandari unalinganisha na wa Williamson! Kama muislamu ni mjinga kama wewe atapingwa tu!

Dp world atatia nanga upende usipende, waarabu watatia nanga upende usipende

Muhimu Mkataba uwe wa haki, pande zote mbili wasiumie.
 
Back
Top Bottom