Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
CHADEMA na hasira zao za kijinga. Media za kimataifa zinampongeza Spika Tulia lakini nchini kwake wapo vijana wanadai hakujibu vizuri maswali, hawa ni wa kuachana nao tu.Ukisikiliza vizuri anasema ameshajibu hilo swali mara nyingi hapo awali tena alikwenda Urusi baada ya Raisi zelensky na speaker wake kusema hawatakuwepo ukraine wanaenda kuhudhuria mkutano Ulaya au marekani na mialiko yake huko ukraine ipo ofisini kwake wakachukue
Sio kweli, hujaelewa maana zinazojificha kwenye baadhi ya maswali haswa wanapomuona kiongozi ni wa jinsia ya kike.Angeishia apo tu ingetosha sio kujizalilisha vile halafu wanawake wanapenda kujitilisha huruma kanakwamba wanaonewa vile
Nafikiri hamjamsikiliza vizuri. Watanzania kama kawaida mmekimbilia kumhukumu kuwa amejibu kwa kupanic. Kuna maneno haya ameyasema ingawa sitanukuu kama yalivyo lakini maana ni ileile, " I have responded to these questions several time". Unapata maana gani? Hivi kama watu walewale wanauliza swali lilelile kila muda unafikiri alikosea kuongea kwa namna ile aliyoongea? Unafikiri hakuna vikao vya ndani vya committee vilivyomuuliza swali hilohilo moja na wakaamua kuliuliza tena kwenye mkutano unaorushwa live?Tulia hajazuiwa kwenda urusi alipaswa ajibu swali na sio kupanic na kuaza kupayuka kama vile sio msomi bhn
Mfululizo wa maswali yanayoelekea kufanana kwa kutoka kwa wabunge inaonekana kuna kitu hakiko sawa ambacho wabunge wanakijua.Yaani rais Tulia Ackson lugha yake ya mwili hata kabla ya kufikia muda wa kuulizwa maswali live alikuwa amesha changanyika, ingawa maswali hayo siyo ya papo kwa hapo, tayari walishawasilisha kama kanuni za mabunge zinavyoelekeza. Hii ilimpa muda wa kutosha kujitayarisha, lakini pamoja na hisani hiyo ya kiutaratibu wa kibunge aka - panick.
Labda kuna kitu anakijua kama impeachment n.k kinakuja na hii rasharasha ya maswali ni mwanzo wa wabunge kusuka jambo kubwa juu ya uwezo wake ..
Mojawapo ni wewe mkuuKinafiki tu kama kawaida yetu wabongo. Huyu dada wanamsifia hata hao wazungu kwa kuweza kusimama dhidi ya ubaguzi wa mawaziri wa Ulaya.
Tanzania nchi aliyotoka kuna wajuaji kuliko hao mawaziri, kuliko hao watu wa media za kimataifa.
Siasa mbovu za CCM na CHADEMA zinatengeneza kundi kubwa la wajinga.
Hii ya wanawake kujitilisha huruma ipo sana.Angeishia apo tu ingetosha sio kujizalilisha vile halafu wanawake wanapenda kujitilisha huruma kanakwamba wanaonewa vile
HahahaMaoni ya mtanzania mnyonge
Sio wewe CHADEMA lialia?. Mzee wa kupinga kila mada inayowekwa jukwaani.Mojawapo ni wewe mkuu
Uongozi wanapewa kwa kupokezana sio kwa sababu nyingine yoyote ile mkuu. Uliwahi kugundua hilo au ymegundua leo?Angekuwa ni debe tupu asingekuwa Rais wa bunge la CPU, kuonana ana kwa ana na Putin au kiongozi wa ngazi hiyo sio mchezo.
Wabongo katika ubora wetu wa dharau za vijiweni. Kila kitu kukichukulia kwa uzito mwepesi tu. Sio mada za Simba na Yanga kupewa nafasi ya kuongoza bunge la kidunia.
😃😃 nani amemdharau tulia kwa jinsia yake?Hii ya wanawake kujitilisha huruma ipo sana.
Ionekane kwamba unamdharau kwa kuwa ni mwanamke.
Acheni wivu, madam kaongea point... Kama umekatwa... Tuambie we ungeongeaje?Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.
Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.
Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.
Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.
Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.
Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.
Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Hata kupewa uongozi katika taasisi hiyo sio jambo dogo, humo ukumbini kuna wasomi wangapi wanazeeka na kustaafu bila ya kupewa hiyo nafasi ya urais?. Siku zote kwepa akili za kibongo za kudharau kila kitu.Uongozi wanapewa kwa kupokezana sio kwa sababu nyingine yoyote ile mkuu. Uliwahi kugundua hilo au ymegundua leo?
Ukiitwa mtanzania mnyonge kataa kwa nguvu zote mkuu hao ndio mtaji wa ccm.. na wanapowaita wanyonge wanamanisha a (wajinga, hawana ellimu, exposure, poor reasoning arguementation)Hahaha
Haswaa....sijawahi kukubali hilo jinaUkiitwa mtanzania mnyonge kataa kwa nguvu zote mkuu hao ndio mtaji wa ccm.. na wanapowaita wanyonge wanamanisha a (wajinga, hawana ellimu, exposure, poor reasoning arguementation)
si kweli gentleman,
unapotosha. Kajibu maswali ya wabunge wenye mihemko sana kwa ufasaha mno na ameongea kimamlaka na kuwaambia ukweli wabunge kwamba wasifikiri alikotoka bado wako chini ya wakoloni na hahitaji ruhusa kutembelea Ukraine wala Russian kwa mapenzi bali ni utaratibu na wajibu wa bunge hilo kufanya hivyo kote ulimwenguni 🐒
Kulikuwa na haja gani ya kuwaambia, 'wamheshimu, au natoka nchi ndogo au wasiwe na fikra za kikoloni',si kweli gentleman,
unapotosha. Kajibu maswali ya wabunge wenye mihemko sana kwa ufasaha mno na ameongea kimamlaka na kuwaambia ukweli wabunge kwamba wasifikiri alikotoka bado wako chini ya wakoloni na hahitaji ruhusa kutembelea Ukraine wala Russian kwa mapenzi bali ni utaratibu na wajibu wa bunge hilo kufanya hivyo kote ulimwenguni 🐒
Kweli mkuu, yeye kwenda kwa Putin kunahusiana vipi na ukoloni au yeye kutoka kwenye nchi ndogo...masuala ya ukoloni yanahusiana nini na maswali aliyoulizwa?
..hoja ya ukoloni ni kichaka cha kukimbia maswali, sawa na ilivyo hoja ya jinsia.
Naona watu mmejaa wivu tu...Ameonesha dunia kuwa kiasi gani ni mjinga, msomi hawezi kuzungumza upuuzi kama huu alizungumza
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/JamiiForums/videos/1650206085542956/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v