Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

CHADEMA na hasira zao za kijinga. Media za kimataifa zinampongeza Spika Tulia lakini nchini kwake wapo vijana wanadai hakujibu vizuri maswali, hawa ni wa kuachana nao tu.
 
Angeishia apo tu ingetosha sio kujizalilisha vile halafu wanawake wanapenda kujitilisha huruma kanakwamba wanaonewa vile
Sio kweli, hujaelewa maana zinazojificha kwenye baadhi ya maswali haswa wanapomuona kiongozi ni wa jinsia ya kike.

Ilibidi awaeleze kwa kirefu kwani inaonekana kwa muda wa mwaka mmoja aliodumu kwenye cheo hicho zimekuwepo jitihada za kutaka kumchukulia kama vile haielewi kazi yake.
 
Tulia hajazuiwa kwenda urusi alipaswa ajibu swali na sio kupanic na kuaza kupayuka kama vile sio msomi bhn
Nafikiri hamjamsikiliza vizuri. Watanzania kama kawaida mmekimbilia kumhukumu kuwa amejibu kwa kupanic. Kuna maneno haya ameyasema ingawa sitanukuu kama yalivyo lakini maana ni ileile, " I have responded to these questions several time". Unapata maana gani? Hivi kama watu walewale wanauliza swali lilelile kila muda unafikiri alikosea kuongea kwa namna ile aliyoongea? Unafikiri hakuna vikao vya ndani vya committee vilivyomuuliza swali hilohilo moja na wakaamua kuliuliza tena kwenye mkutano unaorushwa live?

Agenda ya watu wa magharibi inaeleweka ndio maana aliamua kujibu kwa njia ile. Hawapendi kuongozwa na mtu mweusi, hawapendi mtu mweusi ajue udhaifu kupitia viti vya uongozi walivyovitengeneza wenyewe. Watahakikisha hapewi muhula mwingine wa kiti hicho kama ilivyo kwa mhindi mweusi wa Uingereza.

Tulia anajua anapambana na watu wa aina gani. Majibu ya aina hiyo kuna wakati hujibiwa na viongozi wengi duniani baada ya kuchoshwa na mashambulizi onevu yanayoelekezwa kwao.
 
Mfululizo wa maswali yanayoelekea kufanana kwa kutoka kwa wabunge inaonekana kuna kitu hakiko sawa ambacho wabunge wanakijua.
 
Mojawapo ni wewe mkuu
 
Mbona dada yetu amejibu vizuri tu!!Tena kwamamlaka,Japo Ka Uccm nimekaona.😂
 
Uongozi wanapewa kwa kupokezana sio kwa sababu nyingine yoyote ile mkuu. Uliwahi kugundua hilo au ymegundua leo?
 
Acheni wivu, madam kaongea point... Kama umekatwa... Tuambie we ungeongeaje?
 
Uongozi wanapewa kwa kupokezana sio kwa sababu nyingine yoyote ile mkuu. Uliwahi kugundua hilo au ymegundua leo?
Hata kupewa uongozi katika taasisi hiyo sio jambo dogo, humo ukumbini kuna wasomi wangapi wanazeeka na kustaafu bila ya kupewa hiyo nafasi ya urais?. Siku zote kwepa akili za kibongo za kudharau kila kitu.
 
Ukiitwa mtanzania mnyonge kataa kwa nguvu zote mkuu hao ndio mtaji wa ccm.. na wanapowaita wanyonge wanamanisha a (wajinga, hawana ellimu, exposure, poor reasoning arguementation)
Haswaa....sijawahi kukubali hilo jina
 
Wana JF wengi wenu hasa wanaume suruali mna wivu na chuki kali sana, hua najiuliza ni maisha yamewapiga sana huko kitaa au ni tatizo la afya ya akili? mnajitia wajuaji kwenye kila kitu watu wenyewe exposure hamna hamjawahi hata kuizunguka nchi yenu mmebaki na mawazo mgando basi kichefu chefu tu,
Acheni wivu kwa watu waliowazidi akili, maarifa na mali mnazidi kujikosesha baraka na kuzidisha umaskini kwenye familia zenu.
 

..masuala ya ukoloni yanahusiana nini na maswali aliyoulizwa?

..hoja ya ukoloni ni kichaka cha kukimbia maswali, sawa na ilivyo hoja ya jinsia.
 
Kulikuwa na haja gani ya kuwaambia, 'wamheshimu, au natoka nchi ndogo au wasiwe na fikra za kikoloni',

Haya yote kiuongozi ni kuonyesha hali ya kutojiamini inferiority complex, kwanza hakuulizwa haya pili kwani wao (wazungu) hawajui kuwa anatoka kwenye nchi ndogo.
 
..masuala ya ukoloni yanahusiana nini na maswali aliyoulizwa?

..hoja ya ukoloni ni kichaka cha kukimbia maswali, sawa na ilivyo hoja ya jinsia.
Kweli mkuu, yeye kwenda kwa Putin kunahusiana vipi na ukoloni au yeye kutoka kwenye nchi ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…