Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Ndio maana huyo dada analiongoza hilo bunge muda huu, ni respect hiyo hiyo ambayo kaonyeshwa na dunia nzima.Respect is earned not given or demanded and it can be lost.
Kama unashabikia chadema au unamchukis huwezi kuona majibu.ila alitoa jibu kamiliUkiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.
Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.
Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.
Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.
Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.
Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.
Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Chukuwachakomapema hawana lolote!Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.
Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.
Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.
Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.
Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.
Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.
Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Unamuunga mkono wewe na chawa wake wajinga nyie.Dunia nzima inamuunga mkono isipokuwa sisi humu jukwaani ndio tunaouona udhaifu wake!.
Huwajui wazungu na dharau zao zilivyo.
Mjinga ni wewe unayetafuta sababu za kuishi kwa machungu. Dr Tulia anao uwezo ndio maana waliompa kura walimuona anafaa.Unamuunga mkono wewe na chawa wake wajinga nyie.
Amehemkwa balaaaYagangwe yajayo...
Ndio maana huyo dada analiongoza hilo bunge muda huu, ni respect hiyo hiyo ambayo kaonyeshwa na dunia nzima.
Tuvipende vya kwetu tuachane na huu uzuzu wa kupinga kila kitu.
Msomi gani anaropoka na kukoromea watu kama mjinga, hiyo siyo hulka ya msomiWewe unayeandika haya humu JF ndio msomi kuliko hao mamia ya watu waliomchagua kwa kumpigia kura?. Huu ni zaidi ya wivu wa kike.
Anayeropoka huwa na sababu za kwanini, wazungu baadhi wana zile akili za kutaka kumshushia heshima kiongozi wanayemuona ni mweusi. Inabidi uwajue vizuri haswa malengo yao ni yapi ambayo hawayaonyeshi hadharani.Msomi gani anaropoka na kukoromea watu kama mjinga, hiyo siyo hulka ya msomi
Hakuna mzungu aliyemshushia heshima ameulizwa maswali magumu alitakiwa kujibu alichoulizwa, haya ndio yale mambo ya kwenda bungeni mtu akiwa amegombana na mpenzi wake usiku wehu wake na mtu wake anaupeleka bungeniAnayeropoka huwa na sababu za kwanini, wazungu baadhi wana zile akili za kutaka kumshushia heshima kiongozi wanayemuona ni mweusi. Inabidi uwajue vizuri haswa malengo yao ni yapi ambayo hawayaonyeshi hadharani.
Hakuna swali gumu, hayo ni maswali ya mtego ambayo hata Marehemu Mandela aliwahi kuulizwa alipokuwa Marekani alipofanya ziara ya kwanza baada ya kutoka jela mwaka 1990.Hakuna mzungu aliyemshushia heshima ameulizwa maswali magumu alitakiwa kujibu alichoulizwa, haya ndio yale mambo ya kwenda bungeni mtu akiwa amegombana na mpenzi wake usiku wehu wake na mtu wake anaupeleka bungeni