Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.

Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Kama unashabikia chadema au unamchukis huwezi kuona majibu.ila alitoa jibu kamili
 
Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.

Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Chukuwachakomapema hawana lolote!
Bongo hawafuati sheria bila shuruti! Wanatumia vyombo vya ulinzi na usalama na vya taifa kujinufaisha madarakani! Wakienda duniani ndipo utagunduwa udhaifu wao! Tusishangae! Eti doctor?!
Mbura! Doctor labda wa kuiba kura, kuhonga na kuuza maliasili na rasilimali za nchi tu!
 
Acha siasa za chuki Dkt Tulia amejibu vzr hadi mabwana zenu weupe wakampigia makofi,badilikeni!!
 

Attachments

  • IMG_2315.jpeg
    IMG_2315.jpeg
    195.7 KB · Views: 3
Na bado yule mjinga ataendelea kutujazia taka taka zake hapa.
 
YEye ndiye mwanamke pekee, na yeye ndiye mweusi pekee.

kulia lia ndio kinga yao, kutafuta huruma, anaonewa.
 
Msomi gani anaropoka na kukoromea watu kama mjinga, hiyo siyo hulka ya msomi
Anayeropoka huwa na sababu za kwanini, wazungu baadhi wana zile akili za kutaka kumshushia heshima kiongozi wanayemuona ni mweusi. Inabidi uwajue vizuri haswa malengo yao ni yapi ambayo hawayaonyeshi hadharani.
 
Anayeropoka huwa na sababu za kwanini, wazungu baadhi wana zile akili za kutaka kumshushia heshima kiongozi wanayemuona ni mweusi. Inabidi uwajue vizuri haswa malengo yao ni yapi ambayo hawayaonyeshi hadharani.
Hakuna mzungu aliyemshushia heshima ameulizwa maswali magumu alitakiwa kujibu alichoulizwa, haya ndio yale mambo ya kwenda bungeni mtu akiwa amegombana na mpenzi wake usiku wehu wake na mtu wake anaupeleka bungeni
 
Hakuna mzungu aliyemshushia heshima ameulizwa maswali magumu alitakiwa kujibu alichoulizwa, haya ndio yale mambo ya kwenda bungeni mtu akiwa amegombana na mpenzi wake usiku wehu wake na mtu wake anaupeleka bungeni
Hakuna swali gumu, hayo ni maswali ya mtego ambayo hata Marehemu Mandela aliwahi kuulizwa alipokuwa Marekani alipofanya ziara ya kwanza baada ya kutoka jela mwaka 1990.

Aliulizwa ni kwanini SA inao ukaribu na Libya ya Ghaddafi ambayo ina sifa kimataifa, akamjibu mwandishi kwamba adui wa SA hawezi kuwa kwa asilimia 100 ni adui wa Marekani.

Kwa kifupi yapo maswali ya aina hiyo kutoka kwa wazungu, yanakuwa ni ya mtego pia yanakuwa na lengo la kumdhalilisha mtu mweusi anayeulizwa.
 
Back
Top Bottom