Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) wamenunua Laser Crack Measurement System (Mtambo maalumu wa kupima ubora wa barabara) ambao umeanza kufanya kazi. Sasa barabara kabla ya kukabidhiwa Serikali, itakuwa inapimwa ubora kwa kutumia Mtambo huo
Dkt Tulia amesema hayo tarehe 27 Mei 2024 Bungeni Jijini Dodoma wakati akifungua Maonesho ya siku mbili ya sekta ya Ujenzi ambapo amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya kwenye uwekezaji wa eneo la miundombinu ya Barabara.
Aprili 19, 2024, Mdau wa JamiiForums.com alisema Barabara hiyo ni hatari kwa usalama wa Watu na vyombo vinavyopita kutokana na kuwa na mashimo mengi, akadai TANROADS Dodoma wamekuwa wakijaza udogo kwenye mashimo hayo jambo ambalo hakisaidii
Pia soma