Spika Tulia kwanini asiwasaidie watanzania kimya kimya kama ana nia njema? Picha alizopigwa huyu bibi kumshukuru Tulia zinafikirisha

Spika Tulia kwanini asiwasaidie watanzania kimya kimya kama ana nia njema? Picha alizopigwa huyu bibi kumshukuru Tulia zinafikirisha

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kwa picha hizi tutakuwa tunakosea tukisema Tulia anatumia Watanzania masikini kama mtaji wa kisiasa?

Kuna haja gani ya kuwasaidia hawa watanzania kama huo msaada unahusisha makamera na press za kutia tia huruma?

Kuna watanzania wengi sana, wana majina makubwa na wanasaidia watu kimya kimya bila kuwapiga picha kwa style hii.

Picha hii ya huyu bibi anampigia Tulia magoti kumshukuru, ina-speak volumes about hii misaada ya wanasiasa.

Kama lengo la kupiga hizi picha na kuziweka mtandaoni ni kutoa hamasa kwa watu wengine kutoa misada, this is a wrong approach.

Nobody atakuwa motivated kuwa na roho ya utoaji kisa tu kaona hii picha kutoka kwa Tulia.

Tuliaaa.png
 
Tulia hana mvuto kisiasa, yaani bila kusaidiwa na Tume ya uchaguzi hana chake. Mwachemi afanye haya mambo walau yamsaidie kuongeza kura.
 
Tulia ni moja ya watu maarufu Washamba. Nafikiri amefika hapo kizali. Kwa hiyo ameshindwa kuficha ushamba kabisa

Ni kweli mkuu, ni kama hajiamini hivi

Kila siku ma-press akiwa anatoa misaada.

2025 tutaona mengi mkuu
 
Wakuu,

Kwa picha hizi tutakuwa tunakosea tukisema Tulia anatumia Watanzania masikini kama mtaji wa kisiasa?

Kuna haja gani ya kuwasaidia hawa watanzania kama huo msaada unahusisha makamera na press za kutia tia huruma?

Kuna watanzania wengi sana, wana majina makubwa na wanasaidia watu kimya kimya bila kuwapiga picha kwa style hii.

Picha hii ya huyu bibi anampigia Tulia magoti kumshukuru, ina-speak volumes about hii misaada ya wanasiasa.

Kama lengo la kupiga hizi picha na kuziweka mtandaoni ni kutoa hamasa kwa watu wengine kutoa misada, this is a wrong approach.

Nobody atakuwa motivated kuwa na roho ya utoaji kisa tu kaona hii picha kutoka kwa Tulia.

View attachment 3195207
Hapo ni Mbeya mjini sijui vijijini hali ipoje
 
Wakuu,

Kwa picha hizi tutakuwa tunakosea tukisema Tulia anatumia Watanzania masikini kama mtaji wa kisiasa?

Kuna haja gani ya kuwasaidia hawa watanzania kama huo msaada unahusisha makamera na press za kutia tia huruma?

Kuna watanzania wengi sana, wana majina makubwa na wanasaidia watu kimya kimya bila kuwapiga picha kwa style hii.

Picha hii ya huyu bibi anampigia Tulia magoti kumshukuru, ina-speak volumes about hii misaada ya wanasiasa.

Kama lengo la kupiga hizi picha na kuziweka mtandaoni ni kutoa hamasa kwa watu wengine kutoa misada, this is a wrong approach.

Nobody atakuwa motivated kuwa na roho ya utoaji kisa tu kaona hii picha kutoka kwa Tulia.

View attachment 3195207
Ni ujuha,ulimbukeni, kukosa busara na umasikini wa akili.
 
Watu mnachuki binasfi na Tulia, hata akifanya mambo mema bado mnaleta vidomodomo.

Mtakuwa mnatumiwa na yule mvuta bange anayeimba muziki wa kufokafoka.
 
Huyo wala siyo bibi, ni age mate wa Tulia Ackson, sema maisha yamempiga tu.

Tulia anatafuta ubunge kwa kuwadhalilisha maskini.
 
Back
Top Bottom