Spika Tulia kwanini asiwasaidie watanzania kimya kimya kama ana nia njema? Picha alizopigwa huyu bibi kumshukuru Tulia zinafikirisha

Spika Tulia kwanini asiwasaidie watanzania kimya kimya kama ana nia njema? Picha alizopigwa huyu bibi kumshukuru Tulia zinafikirisha

Wakuu,

Kwa picha hizi tutakuwa tunakosea tukisema Tulia anatumia Watanzania masikini kama mtaji wa kisiasa?

Kuna haja gani ya kuwasaidia hawa watanzania kama huo msaada unahusisha makamera na press za kutia tia huruma?

Kuna watanzania wengi sana, wana majina makubwa na wanasaidia watu kimya kimya bila kuwapiga picha kwa style hii.

Picha hii ya huyu bibi anampigia Tulia magoti kumshukuru, ina-speak volumes about hii misaada ya wanasiasa.

Kama lengo la kupiga hizi picha na kuziweka mtandaoni ni kutoa hamasa kwa watu wengine kutoa misada, this is a wrong approach.

Nobody atakuwa motivated kuwa na roho ya utoaji kisa tu kaona hii picha kutoka kwa Tulia.

View attachment 3195207
Ameona Mbowe kamfunika kwenye media
 
Wakuu,

Kwa picha hizi tutakuwa tunakosea tukisema Tulia anatumia Watanzania masikini kama mtaji wa kisiasa?

Kuna haja gani ya kuwasaidia hawa watanzania kama huo msaada unahusisha makamera na press za kutia tia huruma?

Kuna watanzania wengi sana, wana majina makubwa na wanasaidia watu kimya kimya bila kuwapiga picha kwa style hii.

Picha hii ya huyu bibi anampigia Tulia magoti kumshukuru, ina-speak volumes about hii misaada ya wanasiasa.

Kama lengo la kupiga hizi picha na kuziweka mtandaoni ni kutoa hamasa kwa watu wengine kutoa misada, this is a wrong approach.

Nobody atakuwa motivated kuwa na roho ya utoaji kisa tu kaona hii picha kutoka kwa Tulia.

View attachment 3195207
Hakuna katili anayeweza kutoa msaada
 
Hiyo ni trailer tutaona mengi yanakuja...tegemea kuona mengi zaidi ya haya kipindi hiki tukiukaribia uchaguzi.
 
Acha matendo mema yafanyike kwenye nuru ili wengine wawe 'inspired' kusaidia jamii zao.

Mkuu,

Kama unahitaji "inspiration" kutoka kwenye drama hizi za Tulia ili usaidie Watanzania wenzako basi utakuwa ni mtu usiyejielewa.

Kwani kabla ya hizi picha kutoka Tulia watanzania tulikuwa hatusaidiani?

Huyo Tulia kuna some point in her life lazima alihitaji mtu amsaidie kwa njia moja au nyingine, yeye alipigwa picha?
 
Wakuu hapo ni TuliaTrust ,maana yake inawezekana nyuma yake pia ana marafiki wa Ulaya , wazungu hawataki Maneno, wanataka ushahidi wa picha.

Hivo anachofanya ni TuliaTrust.
 
Watu mnachuki binasfi na Tulia, hata akifanya mambo mema bado mnaleta vidomodomo.

Mtakuwa mnatumiwa na yule mvuta bange anayeimba muziki wa kufokafoka.

Yaani mimi nimchukie Tulia mkuu?

Hahahaha!

Thats the funniest thing ive read today.
 
Wakuu hapo ni TuliaTrust ,maana yake inawezekana nyuma yake pia ana marafiki wa Ulaya , wazungu hawataki Maneno, wanataka ushahidi wa picha.

Hivo anachofanya ni TuliaTrust.

Ni organization gani ya wazungu wanayohitaji wanaosaidiwa wapige magoti ili kuonesha wamepokea msaada?

Plus nimeona kuna watu wanachanga mtandaoni kusaidia hii trust yake.

SIdhani kama kuna wazungu wanahusika hapo mkuu
 
Wakuu,

Kwa picha hizi tutakuwa tunakosea tukisema Tulia anatumia Watanzania masikini kama mtaji wa kisiasa?

Kuna haja gani ya kuwasaidia hawa watanzania kama huo msaada unahusisha makamera na press za kutia tia huruma?

Kuna watanzania wengi sana, wana majina makubwa na wanasaidia watu kimya kimya bila kuwapiga picha kwa style hii.

Picha hii ya huyu bibi anampigia Tulia magoti kumshukuru, ina-speak volumes about hii misaada ya wanasiasa.

Kama lengo la kupiga hizi picha na kuziweka mtandaoni ni kutoa hamasa kwa watu wengine kutoa misada, this is a wrong approach.

Nobody atakuwa motivated kuwa na roho ya utoaji kisa tu kaona hii picha kutoka kwa Tulia.

View attachment 3195207
Mwanasiasa hafanyi jambo kwa ajili yako bali ni kwa ajili yake mwenyewe hata kama atakufanyia wewe
 
Wakuu,

Kwa picha hizi tutakuwa tunakosea tukisema Tulia anatumia Watanzania masikini kama mtaji wa kisiasa?

Kuna haja gani ya kuwasaidia hawa watanzania kama huo msaada unahusisha makamera na press za kutia tia huruma?

Kuna watanzania wengi sana, wana majina makubwa na wanasaidia watu kimya kimya bila kuwapiga picha kwa style hii.

Picha hii ya huyu bibi anampigia Tulia magoti kumshukuru, ina-speak volumes about hii misaada ya wanasiasa.

Kama lengo la kupiga hizi picha na kuziweka mtandaoni ni kutoa hamasa kwa watu wengine kutoa misada, this is a wrong approach.

Nobody atakuwa motivated kuwa na roho ya utoaji kisa tu kaona hii picha kutoka k
Kwenye ulimwengu wa umaarufu kuna watu wako huko kimakosa bro
 
Back
Top Bottom