Spika Tulia kwanini asiwasaidie watanzania kimya kimya kama ana nia njema? Picha alizopigwa huyu bibi kumshukuru Tulia zinafikirisha

Umaskini mbaya sana ndugu zangu. Cheki bibi wa wa watu anavyodhalilika kisa vipeto vingapi sijui vya chakula.

Eeh Mungu utuinue na sisi wapambanaji wengine.
Kabisa mkuu! Nimeona huruma sana, mtu unawezaje kukubali kupigiwa magoti na mtu mwenye umri wa mama yako tena katika tukio la kutoa msaada tu?
 
Mkuu labda nikuulize,hivi kuna mwanasiasa ashawahi saidia kimya kimya?
 
Anawezaje kuiweka kwenye official page ya taasisi yake picha hiyo?
 
Kuelekea October 2025 tutashuhudia kila aina ya kituko.
 
Umaskini mbaya sana ndugu zangu. Cheki bibi wa wa watu anavyodhalilika kisa vipeto vingapi sijui vya chakula.

Eeh Mungu utuinue na sisi wapambanaji wengine.
kushukuru kwa kupiga magoti siyo kujidhalilisha .ni utamaduni wa makabila mbali mbali.kama kwenu wanawake na wake zenu wanashukuru huku wamesimama kama mti ni sawa maana ndiyo utamaduni na malezi huko kwenu familia,kata na kijiji
 
sijajua Mwandishi anatoka wapi but ntakwambia maneno mawili tu.

. Huu ni mwaka 2025
. Tulia ni Mwanasiasa.
PERIOD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…