Spika tulia na wakina Mdee bado wanatuchezea

Spika tulia na wakina Mdee bado wanatuchezea

Msiwe mnakurupuka.
Bunge ni taasisi haliwezi kufanya kazi bila taarifa rasmi kimaandishi.
Hivyo hadi barua iwafikie na wao waichambue na kuangalia vifungu vya shwria vya kusimamia na kupitia katiba ya cdm.

Ndipo watakuja kutangaza rasmi bungeni.
Na akina mdee hadi sasa bado ni wabunge japo ni fake hadi hapo spika atakapotangaza rasmi na kukabidhiwa barua zao za kusimamishwa ubunge.

Walipokelewa kwa barua na watafukuzwa kwa mujibu wa sheria kimaandishi pia.

Spika hajachelewa na wao hawajakosea kwenda bungeni.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Yaani bunge likae lipitie kama katiba ya Chadema ilifuatwa?hizi akili hizi?
Wakati lowasa,Membe,Sofia Simba wanafukuzwa kwenye ccm,bunge lilikaa kupitia katiba ya ccm?
"What is good for the gander should be good for the goose"
 
Yaani bunge likae lipitie kama katiba ya Chadema ilifuatwa?hizi akili hizi?
Wakati lowasa,Membe,Sofia Simba wanafukuzwa kwenye ccm,bunge lilikaa kupitia katiba ya ccm?
"What is good for the gander should be good for the goose"
Upende usipende.
Hata barua na Mnyika ataambatanisha na muhtsari wa kikao na jinsi walivyoongozwa na katiba ya chama.

Tuachage kupinga kila kitu kama hujui acha ubishi ni shamba.
Taasisi zinafanya kazi kwa marejeo na sio taarifa peke yake.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Siamnini kama mioyo yao ina amani zaidi ya hayo matabasamu ya uongo usoni mwao.

Wanajua wanatakiwa kukaa kwa adabu huko bungeni wasiropoke, hii itawafanya wasiwe hata na uwezo na uhuru wa 100% kuchangia mijadala, matokeo yake watakuwa wasindikizaji tu.

Siku wakipayuka tu, watatolewa maneno ya kashfa na hao wanaowalea sasa hivi ndio watajua kumbe walikuwa wamekalia tambara bovu.
 
Spika atasema kwamba hajapata barua rasmi kutoka chadema inayo mtaarifu kwamba wamefukuzwa uanachama.
Katibu mkuu, ameujulisha uma kuwa hii ni mara ya pili kwa barua rasmi kutumiwa Spika.
==
1652431504874.png
 
Leo gazeti la Mwananchi limeripoti kuwa akina mdee wameonekana bungeni.

Na Mnyika nae akapost kuwa Barua ilishafika kwa tulia.
Swali kwanini wanawang'ang'ania hao Covid19?

View attachment 2222528
Wabunge hawa wamefukuzwa uanachama na CHADEMA, na si KWAMBA Spika amewafukuza ubunge hapana. Naamini OFISI ya Spika nayo inao UTARTIBU wake ambao inabidi sasa ufuatwe. CHADEMA BARUA yao irmeshafika wamwachie sasa Spika naye afanye kazi yake kwa kufuata utaratibu; hata kidogo hawezi kukiuka kile AMBACHO CHADEMA wameamua
 
Back
Top Bottom