mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Hoja ya Spika ni dhaifu sana!! Ila hana jinsi!! Yaani fisadi kupewa muda wa kusafisha nyumba aliyoichafua hadi mwezi wa tisa!! Baada ya hapo utetezi utatokea na wabunge watasema sawaaaaa!!!