Spika wa Bunge Dkt. Tulia Acksoni, achukua fomu kugombea Urais IPU

Spika wa Bunge Dkt. Tulia Acksoni, achukua fomu kugombea Urais IPU

SPIKA Tulia Ackson anajipigia debe kuchaguliwa kuwa Rais wa Bunge la Dunia huku akiwa na Kashfa kubwa ya Bunge la Tanzania kuridihia Mkataba wa kuuza bandari zote za Tanzania kwa Mwarabu.

Bila aibu anagombea nafasi hiyo ili akauze mali zote za dunia nzima kwa waarabu?

Tulia ameshindwa kuendesha Bunge la Tanzania ataweza kuongoza dunia? tuache unafiki jamani tunaompigia debe tulia.

Tumesahau Bunge lake hivi majuzi limetunga sheria ya kuruhusu kununua ndege chakavu, meli chakavu, mabehewa chakavu, vichwa vya treni chakavu leo anapata wapi sifa za kuwa spika wa dunia?
Hiyo tisa,kumi kuzuia Bunge kujadili ripoti ya CAG iliyojaa ubadhirifu wa kutisha.Sasa ana rekodi gani ya Bunge lake kuheshimu Utawala bora mpaka achuguliwe kuwa Spika wa Bunge la Dunia!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2786635
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson, anatarajiwa kushiriki Mkutano wa 147 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Angola.

Katika Mkutano huo pamoja na mengineyo utafanyika Uchaguzi wa Rais mpya wa Umoja huo ambapo Dkt. Tulia ni miongoni mwa Wagombea.
Uspika umemshinda huko anatafuta nini?
 
Inasaidia Nini? Hata awe Rais wa mabunge ya Dunia nzima bado ni kilaza. Kwa jinsi alivoendesha mjadala wa bandari nilimvua thamani. Spika inakuwaje na upande? Wanasonga mkono kimya, wanaopinga anabishana nao. Very stupid speaker. Tanzania tuna uhaba wa Viongozi, vilaza na machawa ndio wanaongoza nchi.
Muda bado inabidi tuandike Waraka kabisa tuupeleke uko IPU kuwaeleza kuwa huyo mtu ni hatari kwa ustawi wa Demokrasia!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2786635
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson, anatarajiwa kushiriki Mkutano wa 147 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Angola.

Katika Mkutano huo pamoja na mengineyo utafanyika Uchaguzi wa Rais mpya wa Umoja huo ambapo Dkt. Tulia ni miongoni mwa Wagombea.
Kule hakuna figisu kama hizi anazotufanyia watanzania. Akichaguliwa huko ni wao wamemchagua sio sisi!
 
Afya yake ya akili ataangukia pua,huko ni akili kubwa tu
Hawajamfahamu alivyo kama sisi tunavyomfahamu,hivyo wanaweza kumchagua. Ila ni hatari kwa matumizi ya binadamu! Wanayoyahubiri mdomoni ni tofauti kabisa na wanayoyatenda.
 
SPIKA Tulia Ackson anajipigia debe kuchaguliwa kuwa Rais wa Bunge la Dunia huku akiwa na Kashfa kubwa ya Bunge la Tanzania kuridihia Mkataba wa kuuza bandari zote za Tanzania kwa Mwarabu.

Bila aibu anagombea nafasi hiyo ili akauze mali zote za dunia nzima kwa waarabu?

Tulia ameshindwa kuendesha Bunge la Tanzania ataweza kuongoza dunia? tuache unafiki jamani tunaompigia debe tulia.

Tumesahau Bunge lake hivi majuzi limetunga sheria ya kuruhusu kununua ndege chakavu, meli chakavu, mabehewa chakavu, vichwa vya treni chakavu leo anapata wapi sifa za kuwa spika wa dunia?
Spika wa bunge chakavu na vichwa chakavu.
 
SPIKA Tulia Ackson anajipigia debe kuchaguliwa kuwa Rais wa Bunge la Dunia huku akiwa na Kashfa kubwa ya Bunge la Tanzania kuridihia Mkataba wa kuuza bandari zote za Tanzania kwa Mwarabu.

Bila aibu anagombea nafasi hiyo ili akauze mali zote za dunia nzima kwa waarabu?

Tulia ameshindwa kuendesha Bunge la Tanzania ataweza kuongoza dunia? tuache unafiki jamani tunaompigia debe tulia.

Tumesahau Bunge lake hivi majuzi limetunga sheria ya kuruhusu kununua ndege chakavu, meli chakavu, mabehewa chakavu, vichwa vya treni chakavu leo anapata wapi sifa za kuwa spika wa dunia?
Na tena wamezuia raia tusipate vpn bila sababu ........sijui wanataka tuwachungulie wao??maana pilau tutaangalia wapi tena?
 
Hivi hilo ndio bunge Stephen Maselle, aliwahi kuongoza Ndugai akataka kumtoa roho?!
 
Rasmi Spika wa Bunge la Tanzania Dr.Tulia Ackson , Ndie Rais IPU
 
Back
Top Bottom