Kasomea nini, ubishi?Hatukubali uDr wa Musukuma ni usomi.
Nchi gani umeona haina Driving LicenceMusukuma kawapiga KO wasomi leo Bungeni amewahoji kwanini NiDA card isiwe na matumizi mengi kuliko kutembea na ma Korokocho (I'd) kibao.
Sasa wasomi wetu ambao wengi hawana Akili wameamua kutapa tapa.
𝙷𝚞𝚢𝚞 𝚗𝚍𝚒𝚘 𝚢𝚞𝚕𝚎 𝚍𝚎𝚖𝚞 𝚠𝚊𝚔𝚞𝚒𝚝𝚠𝚊 𝙴𝚝𝚠𝚎𝚎𝚐𝚎 𝙸𝚍 𝚣𝚊𝚔𝚎 𝚗𝚢𝚒𝚗𝚐𝚒𝚗𝚎 𝚣𝚒𝚖𝚎𝚙𝚒𝚐𝚠𝚊 𝚋𝚊𝚗 𝚢𝚊 𝚖𝚞𝚍𝚊 𝚖𝚗𝚎𝚗𝚎Kumbe we ni mwanamke? duh sidhani Kama UKE wako utakuwa salama. Jf wanakataza matusi lakini nakutukana kimoyo moyo @#$&+-%¢€¥¢¥€π√×÷ko
hatukuzidi nye wanawake wa ccmWanaume wa Chadema wana wivu wa kishamba sana
Na kupiga diliWana udaktari wa kusomea lakin hawajafanya lolote la maana kwenye nchi hii zaidi ya kula kodi za watz tu nyambafu
Ovyo kabsaa wanajiita wasomiPumbafu sana hao badala ya kuhoji wabunge 19 hewa wanalipwaje pesa za wavuja jasho na wkt mahakama imewafurusha wao wanahoji kuitana ma Dr daaah
Wasomi weziWamamuogopa kwa sababu alisema mahakama ya ufusadi wamejaa wasomi walishitakiwa. Hakuna darasa la Saba hata mmoja aliyepelekwa pale. Bsli nyie wasomi ndo mmejaa.
Yeye mwenyewe Spika, Tulia Ackson, anasemekana kuwa ana Shahada ya PhD ya sheria, lakini jinsi anavyozitafsiri sheria hizo, hata Mimi ambaye nina elimu ya kuunga unga, namzidi kwa mbali, uelewa huo wa sheria!Spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia leo wakati akiendesha kikao cha bunge ametoa ufafanuzi kuwa watu wengi wanaoitwa madaktari wanamfuata na kulalamika kwamba, ikiwa Musukuma ni daktari wa falsafa (Kisomo) basi wenyewe waachwe kuitwa madaktari.
Spika Tulia akalitolea ufafanuzi suala hilo, akisema watu wajue kutofautisha, Mb.Musukuma alipewa Udaktari wa heshima tu, kwahiyo Udaktari wake siyo wa kisomo.
Ikumbukwe Mb. Musukuma anafahamika zaidi kwa kuchangia hoja zenye mashiko na vijembe vya kuchekesha bungeni.
Kwa kauli hii spika anaona Udaktari wa heshima si chochote kwenye nyanja ya taaluma.
Kwahiyo Mb. Musukuma hastahili kuwekwa kwenye poti moja na Madaktari wa Kisomo (falsafa).
View attachment 2269716
Spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia leo wakati akiendesha kikao cha bunge ametoa ufafanuzi kuwa watu wengi wanaoitwa madaktari wanamfuata na kulalamika kwamba, ikiwa Musukuma ni daktari wa falsafa (Kisomo) basi wenyewe waachwe kuitwa madaktari.
Spika Tulia akalitolea ufafanuzi suala hilo, akisema watu wajue kutofautisha, Mb.Musukuma alipewa Udaktari wa heshima tu, kwahiyo Udaktari wake siyo wa kisomo.
Ikumbukwe Mb. Musukuma anafahamika zaidi kwa kuchangia hoja zenye mashiko na vijembe vya kuchekesha bungeni.
Kwa kauli hii spika anaona Udaktari wa heshima si chochote kwenye nyanja ya taaluma.
Kwahiyo Mb. Musukuma hastahili kuwekwa kwenye poti moja na Madaktari wa Kisomo (falsafa).
View attachment 2269716
Mkuu kwani umeona nimesema Mimi au Musukuma ?Nchi gani umeona haina Driving Licence
Haina Kadi za Bima
Haina Kadi za Benki?
Hata huko Marekani Driving Licence yajitegemea
Nchi gani umeona haina Driving Licence
Haina Kadi za Bima
Haina Kadi za Benki?
Hata huko Marekani Driving Licence yajitegemea
View attachment 2270095
Ni kitu simple Sana hiki hakiitaji kwenda shule, tukiwa na smart card itaondoa vitu Kama cheti Cha kuzaliwa, barua ya mwenyekiti, card ya NHIF na hata Driving license (hoja yako kwamba US Wana driving licence nasi tuwe nazo Ni dhaifu) Ndio maana Nyerere alisema wengine wakipiga Hatua nyie mkimbieView attachment 2270098