Electronica
Member
- Oct 10, 2021
- 36
- 29
Tuwaorodheshe na wengine wenye udaktari usio wa kusomea: ninaanza na Dkt. ANGELINE MABULA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwa kweli msukuma ni mmoja ya wabunge wa taifa sio mbunge wa jimbo tu. Bila kumsahau mh Kishimbi. Hawa watu heshima zao ktk jamii ni kubwa kuliko wasomi wengi.Msukuma ni moja ya wabunge wanaomaliza mabando ya watu wengi sana mitandaoni,analeta raha kumsikiliza na anayoyaongea mengi yana mashiko,kwakweli anastahili huo udaktari.Kongole kwake,hao wasomi kama vipi wajing'atue kwenye hizo nafasi za kisiasa,wabaki akina Msukuma,maana wanayoyaongea yanatugusa sisi wananchi.
Chadema imeusikaje hapo??Wanaume wa Chadema wana wivu wa kishamba sana
Kama babu yako.Wanaume wa Chadema wana wivu wa kishamba sana