Spika wa Bunge Tulia Ackson anashangaa kwanini hadi leo polisi bado inamshikilia Kada wa CHADEMA Kombo Mbwana

Spika wa Bunge Tulia Ackson anashangaa kwanini hadi leo polisi bado inamshikilia Kada wa CHADEMA Kombo Mbwana

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.

Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.

Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzua taharuki".

Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.

Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.
 
Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.

Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, swali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.

Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzusha taharuki".

Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.

Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.

Bila shaka kila mtu anashangaa wakiwamo wakuu wao
 
Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.

Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.

Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzua taharuki".

Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.

Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.
 

Attachments

  • FB_IMG_1727368868627.jpg
    FB_IMG_1727368868627.jpg
    57.3 KB · Views: 5
  • IMG-20240926-WA0035.jpg
    IMG-20240926-WA0035.jpg
    79.6 KB · Views: 4
Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.

Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.

Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzua taharuki".

Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.

Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.
 

Attachments

  • FB_IMG_1726831901062.jpg
    FB_IMG_1726831901062.jpg
    13.3 KB · Views: 4
  • IMG-20240921-WA0089.jpg
    IMG-20240921-WA0089.jpg
    54.1 KB · Views: 5
Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.

Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.

Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzua taharuki".

Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.

Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.

Hawa wanasiasa wapuuzi sana wanatuona sisi wajinga.. akiwa kwenye sehemu ambayo ni ya kutoa maamuzi kama Bungeni hataki kuongelea utekaji kwani anajua pale maamuzi yatatoka na sheria inaweza kubadirishwa. Akija huku kwenye kuhojiwa au majukwaani ndio anajidai anaguswa, ili kujisafisha na kudanganya wajinga. Very stupid.
 
Unatesa binadamu mwenzako kisa vyama vya siasa!!!

Unamuua huku ukijua anawatoto wanaomtegemea kusoma shule,

wanabaki yatima wanakuwa omba omba wakienda kwa ndugu wananyanyaswa.

Wanafukuzwa,wanaanza kutangatanga barabarani kuombaomba.

Wanalia wanasema baba angekuwepo wasingeteseka hivi.

Mama wa watoto nae analia ,

Machozi yao yatageuka kuwa laana yako wewe na uzao wako wote na utakufa kifo kibaya chenye mateso mengi.


Endeleeni kuua na kutesa watu ,Lakini Mungu siku zote ni wa haki.

Ipo siku Mungu atawaonesha hadharani .
 
Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.

Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.

Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzua taharuki".

Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.

Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.
Naona kina Maulidi Kitenge, wamemgonga maswali kabambe huyo Spika wa Bunge.

Hata Mimi nilisikia wakati kina Zembwela wakmgonga swali Tuliac Ackson, aliyedai kuwa Polisi wanafanya kazi yao vizuri.

Ndipo jopo la wasafi media wakamuuliza, inakuwaje Jeshi la Polisi lilidai kuwa halimshikilii Kombo Mbwana na baada ya siku 29 wanakiri kuwa huyo Kombo Mbwana, wanamshikilia wao, hivi hali hii inakuwaje iruhusiwe kutokea katika nchi inayodai inaongozwa Kwa mujibu wa Katiba ya nchi??

Ndipo Tulia Ackson naye akashangas ni akakiri wazi kuwa ni makosa kuendelea kumshikilia huyo kada wa CHADEMA Kombo Mbwana!😳
 
Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.
Inahitaji mabadiliko ya sheria, sheria gani? Ya sasa inaruhusu polisi kushikilia suspect miezi na miezi ??

Tatizo la hawa Tulia Acksons wetu wasio na uwezo wa lolote ni kwamba wanahojiwa na ma DJ wa vipindi vya burudani.

Serikali imelazimisha mpaka ikakubalika kwamba national news coverage, na uchambuzi wa mambo muhimu ya kitaifa, ya kiufundi, na mahojiano na viongozi, yafanywe kwenye vipindi vya burudani na viendeshwe na ma DJ ambao hawana CV stahiki.
 
Back
Top Bottom