Mtemi Mbojo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 891
- 1,569
Wacha waendelee kuwapitisha kwenye TANURI,wakomae na kuongeza umaarufu wao..
Ex Mayor Bon Yai anaenda kuwa GIANT POLITICIAN hasa kwa siasa za ukanda wa Mashariki..Kombo nae akiijipanga vizuri atasumbua HANDENI..nasubiri tu muda ufike ndugu yetu GEORGE wa Njombe awe HURU awe mbunge wa Njombe..CCM endeleeni kujifunga
Ex Mayor Bon Yai anaenda kuwa GIANT POLITICIAN hasa kwa siasa za ukanda wa Mashariki..Kombo nae akiijipanga vizuri atasumbua HANDENI..nasubiri tu muda ufike ndugu yetu GEORGE wa Njombe awe HURU awe mbunge wa Njombe..CCM endeleeni kujifunga