Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Kumbee!...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amegusia Sheria hapo hapo anawasgangaa polisi wakati Ile Sheria ya TWISS walipiitisha wao, kwamba jamaa wale wanaweza mteka,kumzuia yeyote na wasishtakiwe popote!Ukiingia upande ule, inatakiwa uweke elimu pembeni Mkuu.
Upande ule elimu si kipaumbele.
Hebu fanya utafiti kwa wasomi waliojiunga upande ule, uone kama elimu yao inatija.
Ndio kinashangaza!Amegusia Sheria hapo hapo anawasgangaa polisi wakati Ile Sheria ya TWISS walipiitisha wao, kwamba jamaa wale wanaweza mteka,kumzuia yeyote na wasishtakiwe popote!
Anajisafisha?😂😂Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.
Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.
Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzua taharuki".
Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.
Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.
YaaniYale yalee ya magu kuja kutulalamikia wananchi na kutamani angekuwa IGP! Nchi ina mazingaombwe hii🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Mlokole hahhhaha dini kichaka cha wanyanganyi, makatili, majizi na wauajiSpika Dr Tulia PhD alikuwa UNGA
Nadhani amejifunza mengi ukizingatia yeye ni Mlokole 😃🌹
Sheria mbovu ya TISS ameipitisha mwenyewe leo anashangaaAmegusia Sheria hapo hapo anawasgangaa polisi wakati Ile Sheria ya TWISS walipiitisha wao, kwamba jamaa wale wanaweza mteka,kumzuia yeyote na wasishtakiwe popote!
Kina MwamposaMlokole hahhhaha dini kichaka cha wanyanganyi, makatili, majizi na wauaji
Bongo bhana...Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.
Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.
Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzua taharuki".
Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.
Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.
Pale Mafwele atakapokutana na mzee Kibao mbinguniMbinguni itakuwa kilio na kusaga meno, kondoo na mbuzi watakapo tenganishwa.
Washenz sana hao. Kichaka tuKina Mwamposa
Labda Mlokole wa MwamposaCCMSpika Dr Tulia PhD alikuwa UNGA
Nadhani amejifunza mengi ukizingatia yeye ni Mlokole 😃🌹
Nikifika mbinguni nikamkuta Mwamposa itabidi nimuulize malaika kama huku ni mbinguni kweli.Washenz sana hao. Kichaka tu
TAG City Christian Center 😃🌹Labda Mlokole wa MwamposaCCM
Watu wa dini-biasharaNikifika mbinguni nikamkuta Mwamposa itabidi nimuulize malaika kama huku ni mbinguni kweli.
Pale Mafwele atakapokutana na mzee Kibao