Spika wa Bunge Tulia Ackson anashangaa kwanini hadi leo polisi bado inamshikilia Kada wa CHADEMA Kombo Mbwana

Spika wa Bunge Tulia Ackson anashangaa kwanini hadi leo polisi bado inamshikilia Kada wa CHADEMA Kombo Mbwana

Ukiingia upande ule, inatakiwa uweke elimu pembeni Mkuu.
Upande ule elimu si kipaumbele.
Hebu fanya utafiti kwa wasomi waliojiunga upande ule, uone kama elimu yao inatija.
Amegusia Sheria hapo hapo anawasgangaa polisi wakati Ile Sheria ya TWISS walipiitisha wao, kwamba jamaa wale wanaweza mteka,kumzuia yeyote na wasishtakiwe popote!
 
Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.

Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.

Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzua taharuki".

Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.

Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.
Anajisafisha?😂😂
 
Nchi hii kuanzia viongozi hadi wananchi wanashangaa, kila mtu anashangaa.
 
Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA.

Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri kumshikilia.

Tulia amesema "siyo sahihi kwa polisi kumshikilia mtu bila kutoa taarifa kwa jamii kwa sababu inaweza kuzua taharuki".

Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na Waandishi wa habari kina Kitenge, 'ni kwa nini Polisi inakamata watu na kuwaficha bila kutoa taarifa hii inapelekea jamii kuhisi kuwa polisi inahusika na utekaji'.

Tulia aliongeza kusema, hili ni changamoto na linahitaji marekebisho ya sheria.
Bongo bhana...
 
Back
Top Bottom