spika wa serikali ya wanafunzi udom amedisco

spika wa serikali ya wanafunzi udom amedisco

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Huyu kijana ambaye alikuwa naibu spika serikali iliyotoka madarakanu anayejulikana kwa jina la azizi chavuranda kama sijakosea.
Zaidi ya wiki sasa namuona kwao dsm wakati wenzake wanaendelea na masomo sasa leo nimekutana na best angu ni mfanyakazi pale udom ananiambia dogo amedsco chuo

My take
Vijana mkiwa chuo msome muachane na siasa zisizo na msingi sasa dogo miaka yote mitatu amepoteza bure
 
Unazungumzia siasa zipi?Kwa hiyo mtu akiwa discontinued ni siasa??!!!Kwani yeye ni wa kwanza katika huo mkasa??!!
 
Unazungumzia siasa zipi?Kwa hiyo mtu akiwa discontinued ni siasa??!!!Kwani yeye ni wa kwanza katika huo mkasa??!!

Mkuu kuna wengine uwezo mdogo.darasan sasa wanapokomaa na siasa matokeo yake mambo ya msingi yualiyowapeleka chuo wanashindwa
 
jamani kwani mtu kudisco ni kosa la uhaini? Sio fair kumuanika mtu humu eti amefeli wakati kuna wengine wengine wengi tu wamefeli shule na maisha yanaendelea kama kawaida. Ni vizuri kumpa moyo na si kumchoresha humu
 
Sijapenda habari ya kudharirisha, wewe ulipata GPA ya point ngapi?...yawezekana ni gentleman!...taarifa hii inatusaidia nini?...inaongeza uchumi?...umoja wa kitaifa?...hebu tupatie lengo lako hahususi..
 
Failure in examinations is not failure in life. He still has a chance to make life.
 
Huu ni upuuzi,na uliyepost hapa hazikutoshi.
HIVI AMEKUCHUKIZA NINI MPAKA UJE HAPA KUANDIKA UZANDIKI HUU.
Huwezi kuleta mambo binafisi hapa.
WAAFRIKA WENGI WANA ROHO MBAYA SANA ZILIZOJAA CHUKI KUBWA.
mtu hawezi kupata matatizo alafu wapuuzi wengine wanafurahia kiasi cha kupost hapa.
HAO MNAOSINGIZIA SIASA NA NYINYI NI WALEWALE.
kwani wanafunzi kudisco wameanza leo?Kwani kila anaefeli ameendekeza siasa?WAPO HATA TANZANIA ONE WALIOWAHI KUDISCO JE NA HAO UWEZO WAO ULIKUWA MDOGO?
acheni upuuzi.
 
Inaonekana watu mnaosapoti kufeli tz mpo wengi sana sasa hamtaki kujulishwa? Naweka kumbukumbu sawa na pia iwe mfano kwa wadogo zetu waliopo bado vyuoni waache utani na elimu
 
Nani kakwambia graph ya KUSOMA bongo against KUFAULU ni directly proportional passing through the origin,mwalimu aliyenifundisha Anatomy alidisco MUHAS mwaka wa tatu,angesikiliza wapuuzi kama ninyi.....
 
unaweka kumbukumbu wapi?Tatizo lako akili yako inafikiria kimo cha futi moja.
kufeli ni moja ya sifa ya elimu popote duniani.
NA WALA HAIJAWAHI KUSEMWA kuwa TATIZO NI SIASA.na hata ukisema bado wapo watakaofeli.
WEWE NDIYO UNAPENDA WATU KUFELI NA UMEFURAHIA HUYU KUDISCO NA UMEKUJA KUMVUA NGUO HAPA.
kwani umeshindwa nini kutoa ushauri wa jumla bila kutaja jina.
AMA KWA AKILI YAKO FUPI HUYU NI WA KWANZA KUDISCO?
roho yako imejaa wivu,chuki na kutu ya kishetani mana shetani ndio pekee hupenda kuona watu wakipata matatizo.
60%wamepata zero na 30% wamepata four,je nao ni siasa?Na kwa nini hujawataja hawa?Ama mtaani kwenu hakuna aliyepata zero?Ama four?Ama hakuna ndugu yako aliyepata kati ya haya madaraja?Je ndugu zako waliowahi kufeli nao walifanya siasa?
Mad mind
 
Mleta mada ni MWEHU.
Kudisco ni jambo la kawaida chuo kikuu,na huwatokea wote.
Hadi ma TO wanadisco..la ajabu ni lipi?
 
Kama unamwona kwa nini usimulize mwenyewe kilicho msibu kuliko kuuliza watu wa pembeni.Kwa tabia ya mwanamke kama wewe utaendelea kutumiwa sana.
 
Unampa umaarufu wa bure mbona kuna hoja za msingi za kujadili hapa JF jamani?
 
Sasa kama amedisco wewe inakuuma nini? Watu wanadisco Yale! itakua UDOM!. Si vizuri kumuanika mwenzako. Jitathimini.
 
Ttz lake. Aliendekz bata sana chuoni na kwa jinsi udom palivyo pagumu lazima udunde bora angekuwa tumaini
 
Ttz lake. Aliendekz bata sana chuoni na kwa jinsi udom palivyo pagumu lazima udunde bora angekuwa tumaini

Akili yako ya ya mleta uzi zinafanana,
Nani kakwambia Tumaini kuna uafadhali?
kwa nini unashindwa ku-value product za vyuo una-value Chuo?, uwezo wako kkufikiri ni mdogo sana bado!
 
Mleta mada ni MWEHU.
Kudisco ni jambo la kawaida chuo kikuu,na huwatokea wote.
Hadi
ma TO wanadisco..la ajabu ni lipi?

kilicho fanywa na mleta mada si kitu kizuri kabisa na si uungwana.
Lakini na wewe unatakiwa usiwafariji wanafunzi kwa kuwambia kudisco ni jambo la kawaida. kudisco si jambo la kawaida kabisa kabisa. Wanafunzi wanatakiwa wajue wanapo kwenda kusoma wasome kweli si kufanya mambo mengine hadi ya msingi yanawashinda.

Namimi siwezi kuhusisha uspika wake na kudisco.

Pia lazima tutambue si kila kitu cha kuleta jamvini.
 
Back
Top Bottom