aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Huyu kijana ambaye alikuwa naibu spika serikali iliyotoka madarakanu anayejulikana kwa jina la azizi chavuranda kama sijakosea.
Zaidi ya wiki sasa namuona kwao dsm wakati wenzake wanaendelea na masomo sasa leo nimekutana na best angu ni mfanyakazi pale udom ananiambia dogo amedsco chuo
My take
Vijana mkiwa chuo msome muachane na siasa zisizo na msingi sasa dogo miaka yote mitatu amepoteza bure
Zaidi ya wiki sasa namuona kwao dsm wakati wenzake wanaendelea na masomo sasa leo nimekutana na best angu ni mfanyakazi pale udom ananiambia dogo amedsco chuo
My take
Vijana mkiwa chuo msome muachane na siasa zisizo na msingi sasa dogo miaka yote mitatu amepoteza bure